Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

Wakitaka kujuwa Kagoda ni ya nani wala siyo tatizo within two minutes watajuwa kila kitu, hawajataka kujuwa wanatuyeyushaaaa tuu, Usalama wa Taifa unajuwa kila kitu. Hata huko BRELA watajuwa maboss ni akina nani, mimi sielewi kwanini hapa Tanzania kila mtu ni msanii.
 
Eti DPP anataka wananchi wampelekee ushahidi hivi hata kusoma hii article anashindwa..
 
Swali hili kamuulize Rostam Aziz aka King Maker, si yeye ndiye alitajwa na Dr Slaa kwenye orodha ya mafisadi kuwa ndiye anayemiliki Kagoda? Ningeweza kukutana nae, ambacho ningekifanya kingekuwa zaidi ya kumsuta. Na sasa anataka hitman wake Noni ndio awe gavana. Nitamshangaa Kikwete kama akiendelea kujilegeza.

Anayejua jinsi ambavyo naweza kumsogelea Rostam kwa karibu awanishauri kidogo kwenye ashabdala@yahoo.com, halafu hayo mengine nitajua mwenyewe cha kufanya.

Dawa ya mafisadi ni kuwapata kwenye ule ufisadi mwingine tu.


Asha

Huyo Noni ndio nani?
 
Benki Kuu inahitaji ifumuliwe kabisa. Pesa tunazowalipa tuwaombe wazungu waje kutuendeshea maana tumeshindwa. Nina uhakika wazungu hawa wana uchungu na benki yetu kuliko hawa waswahili wenzetu. Hivi ni kwanini wanafikiri sisi sote ni mazezeta?
SI KWELI MWANAKIJIJI,hatujashindwa ila sisi wananchi hatujaamua, ama hatuko tayari, au tunaogopa au hatujui la kufanya ama pa kuanzia, kumpa mtu mwingine chako akiendeshe na akakiendesha kwa uaminifu ni nadra sana kutokea. sisi watanzania tunakawaida ya kusubiri kufanyiwa mapinduzi sio kuyaanzisha wenyewe. na kikubwa nachoweza kusema ni kwamba wanaowekwa kuendesha sehemu nyeti za nchi ama kulinda mali za nchi si wanaostahili kuwapo hapo ndio maana hawa wanaharibu na wasipokaa wanaostahaili na wenye uchungu tutaendelea kulia na kusema bila effect yoyote.hata hao wazungu unaotaka waje kutushikia ama kutufanyia pia watachuma nao na mwisho tutabakizwa weupe peeeeee.
tuamueni ili tuweze.

lakini kumbuka mapinduzi yoyote ama mabadiliko yoyote si rahisi.
 
nakubaliana na wadau walio tangulia kuchangia hoja kuwa mapinduzi yanahtajika tena sana ili 2fikie malengo ye2 kama wenze2 walipo, ebu angalia japan 2lianza nao ktk level ya kiuchumi bt now wako mbali sana, do you know why? Because, the whole country is concentrating in development activities and their country leaders and other stakeholders are aware with each other to avoid probatism (ufisidi) usije ukatokea, so kama viongoz nchi ye2 wanazingua katika kuwafuatilia mafisadi dat means nawenyewe wamo ndani ya vitendo hvyo so wanaogopa kuumbuana wana! Please ma people 2badilike ili 2iokoe nchi ye2 ama sivyo, wale wanao sema kuwa tanzania ina mwenye nchi, walanchi na wananchi atakuwa sahihi kabisa. Just an advice 2 my people and leaders as well.
 
Kwa kweli TZ ina deal dull kwani wahusika wanajulikana m2 kama RA na Manji ndio beneficially wa hizo pesa zilizochotwa kule BOT kutoka kwenye account ya EPA lakini mpaka leo hii wanasulubiwa katika epa syndicate ni vidagaa wenye amount za 1 - 5 billion a pinnate according to over 40 billion taken by Kagoda this is biggest scam have happened in the country history and the biggest scandal third and fourth regime will never avoid and must be responsible for the taxpayers money. The best ways is to unseat CCM era with CDM no doubt about it people will the prove the world yes opposition party can win the election of 2015.
 
Mimi nadhani tuna utahira kama Taifa maana waalioiba tunawaona lakini mwizi wa kuku au baiskeli anachomwa moto je hawa hatuwaoni au wakubwa hawaonekani?
 
Hivi ile timu iliyokuwa inajumuisha IGP, Mkurugenzi wa TAKUKURU na watu wengine kuhusu sakata la wezi wa EPA iliishia wapi
 
Habari yako mkuunimesoma na kuifaham kwa kina ila...........
Unisamehe nimeshindwa kujibu suala lako hata moja
 
Back
Top Bottom