Mr.kibulala
Member
- Nov 8, 2011
- 58
- 20
Ni kweli tunahitaji ukombozi wa kweli Kagera,CDM wazungukie ktk vijiji bdala ya mwanza,ar nk.mf.ni hili jimbo la nkenge hakuna kitu yaani hatuna mbunge kabisa ndio maana waekezaji wa miwa kagera sugar wananyanyasa wananchi.pple powers