Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
- Thread starter
- #41
Asante kwa kuwasisitiza kwa ajili ya hili.Nadhani makamanda watalifanyia kazi hilo. Mimi napafahamu Muleba maeneo ya Kamachumu,etc, watu huko kote hawaitaki kabisa CCM. CDM inabidi izifanyie kazi hizi sauti za umma.