Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Bendera za CDM kwa sasa ni dalili ya Ujasiri na Kuonesha kuwa uko tayari kwa lolote kuitetea nchi yako bila kificho kwa wana Kagera walio wengi. Zamani ili gari lako lisisimamishwe au ufanye shughuli zako bila bugdha ilibidi uwe na bendera ya CCM. Hali kwa sasa ni tofauti..........aliyetundika bendera ya CCM watu wanamshangaa wakiwemo hata watoto wa Primary..........wa msekondari ndo usiseme. Lakini kwa aliyetundika bendera ya CDM anapata heshima kwa sasa na kuonekana kuwa ni mtu aliyeko serious na anayeutngazia umma kuwa haungi mkono hali ya mambo ilivyo kwa sasa. Bendera za CDM zilizoko maeneo mengi hapa Kagera zimechakaaaa na kuonesha kuzeeka wakati chama kwanza ndo kinashika hatamu.
Tunaomba CDM watangaze wazi kuwa bendera hizo zinapatikana wapi, na ikiwezekana zigawiwe hasa kule vijijini ambako wanatamani kujitambulisha kwa jamii kuwa ni wanamapinduzi lakini wanakosa jinsi. Naomba ufafanuzi na response juu ya hili kutoka kwa wahusika.
Tunaomba CDM watangaze wazi kuwa bendera hizo zinapatikana wapi, na ikiwezekana zigawiwe hasa kule vijijini ambako wanatamani kujitambulisha kwa jamii kuwa ni wanamapinduzi lakini wanakosa jinsi. Naomba ufafanuzi na response juu ya hili kutoka kwa wahusika.