Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Tafadhali wana jamvi,hapa bkb tumeshindwa kufahamu bkb mjini ilipata sh.ngapi za mfuko wa jimbo.mbunge hasemi ila eti fedha alizopata ni kama tone kwenye ziwa.mwenye scandal za huyu mtu za binafsi ,kama mbunge,na hata waziri atuletee jamvini tunazihitaji sana.asanteni