Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Balozi Kagasheki amewafukuza baadhi ya watendaji wa wizara yake kwa kadhia ya usafirishaji nje ya nchi wanyama hai.
Kwa maoni yangu mtu pekee ambaye angeweza kufanya hivyo ni Rais, na siyo sasa bali miezi kadhaa nyuma.
Wahusika wakuu ambao walitakiwa wawe wameshafunguliwa mashitaka na kufungwa kwa uhaini siku nyingi ni pamoja na wafuatao:
- watendaji wakuu wa idara ya usalama wa taifa
- watendaji wakuu wa wizara ya ulinzi
Wale wote walionufaika kifedha walitakiwa kuwa wameshafilisiwa siku nyingi.
Kwa maoni yangu mtu pekee ambaye angeweza kufanya hivyo ni Rais, na siyo sasa bali miezi kadhaa nyuma.
Wahusika wakuu ambao walitakiwa wawe wameshafunguliwa mashitaka na kufungwa kwa uhaini siku nyingi ni pamoja na wafuatao:
- watendaji wakuu wa idara ya usalama wa taifa
- watendaji wakuu wa wizara ya ulinzi
Wale wote walionufaika kifedha walitakiwa kuwa wameshafilisiwa siku nyingi.