John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
So sad stories..Rwanda officials shud do something
[video=youtube_share;8pfpo_BjFRo]http://youtu.be/8pfpo_BjFRo[/video]
[video=youtube_share;8pfpo_BjFRo]http://youtu.be/8pfpo_BjFRo[/video]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok jamaa kutoka rwanda walienda urusi kusoma akakutana na mdada kutoka rwanda wakaoana na wote ni madaktari..ila walishindwa kurudi nyumbani kwa sababu ya ile vita na sas hivi wanalima huko urusi kwenye baridi kali wanafuga mbuzi ...na walishindwa kupata kazi yoyoe kuhusu walichosomea kumbuka hawa wote waligraduate udaktari specialist,,.....damn!!!!What is it about?
Asante kwa kunambia. sasa ngoja niangalie video.ok jamaa kutoka rwanda walienda urusi kusoma akakutana na mdada kutoka rwanda wakaoana na wote ni madaktari..ila walishindwa kurudi nyumbani kwa sababu ya ile vita na sas hivi wanalima huko urusi kwenye baridi kali wanafuga mbuzi ...na walishindwa kupata kazi yoyoe kuhusu walichosomea kumbuka hawa wote waligraduate udaktari specialist,,.....damn!!!!
kwa nini? bado ukabila upo kwani?..inawezekana hawa ni WAHUTU ndiyo maana inakuwa shida kwao kurudi RWANDA.
Upo sababu hii regime ya Kagame imekataa kabisa kukubali kua wahutu pia waliuwawa, kwa hiyo watu walio poteza ndugu zao kwa panga la FPR (Army ya Kagame wakati ule) wanahisi haki zao hazijatambuliwa. It is a long and sad story kwa kweli. And indeed, hao wawili hapo ni wahutu.kwa nini? bado ukabila upo kwani?