mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Mbunge wa Igunga(Dalaly Kafumu)umeshindwa kuitumia vyema nafasi yako uliyopewa na spika. Bungeni leo,kwa kweli hukuonesha usomi wako na umeonesha ulivyo na majungu eti wanafunzi wako wanaendesha magari ya ajabu,lipi gari la ajabu Tanzania eti pia Tanzania kuna rushwa,umesahau ulivyokuwa ukitoa rushwa wakati wa uchaguzi? Hukutoa hoja 7a kusaidia Igunga yako pole sana