Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Nimepigiwa simu kuna jamaa amefumaniwa ndani ya chumba cha jirani akijinjari na mke wa jirani yake usiku wa kuamkia leo. Aliambiwa kwamba mume kasafiri basi jamaa akajiachia kinomi. Ghafla jamaa karudi majira ya saa sita hivi. Bila kufanya ajizi jamaa ndani ya taulo katoka balu kupitia mlango wa nyuma kuhofia kipondo na aibu lakini ndani ya suruali aliyoacha mna pesa na vitambulisho vyake. Hadi sasa jamaa hajaonekana mtaani na chumba chake kimefungwa na kufuli kwa nje. Unaweza kubashili hatima ya tifu hili? Kumbuka kwamba jamaa hakutonywa na mtu wala nini kuhusu uwepo wa mwanaume kwa mke wake!:angry: