Kafulila: Watanzania Wanachagua Mtu, Siyo Sera!

Toa mifano. Kwamba ni lini na wapi viongozi wa chadema walizungumza mambo ya kipuuzi tukawapigia makofi.

au wewe ni kafulia?

Siyo rahisi kabisa kwa viongozi wa chadema kuongea 'upuuzi' unajua upuuzi hauna standard, kama mnataka CDM wote wawe na akili moja ya ''zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama/ au mwanzisha chama na mkwewe'' hautaona huo upuuzi.

Ila tumeona kweli chadema ikiwafukuza wale wote wanaozungumza 'upuuzi' kama Wangwe, Kafulila, na sasa mnamtaka naibu katibu mkuu!

sijaona kabisa chama chenye nguvu ya kuwa na umoja katika lolote lile kama Chadema, hapo awali CCM walikuwa hivyo kwenye issue za ufisadi!!! kwa sasa chadema kiko juu ya CCM kwa kila kitu! mmekosa rais tu!!! si umeona juzi ccm wamesema wamtoe Sita, woote wakakubaliana, si uliona katika wanachama million 4 wa ccm hakuna aliyetaka kuchukua form za urais eti wote wanataka JK aendelee, japo Shibuda alitaka kuchukua akawekewa mizengwe? 'mnaye' huyu tunasubiria tu!!

kwa misimamo yako na maneno yako sijaona tofauti ya CDM na CCM, ispokuwa kwenye herufi za kati tu, 'C' na 'D' that shows chadema is another latest version ya CCM

Chadema is high time to know politics and politician, is high time to know how will you perfectly deal with them!
 
Asante kwa majibu yako, I thought umeanzisha hoja kutaka majibu na wewe uko neutral! na hata kama hauko Neutral basi utajibu kuvutia kwako kwa point murua! nasema alichosema Kafulila ndio ukweli nchi hii, unamfahamu JOHN SHIBUDA?? Mpendazoe naye si alishinda (mimi niko Segerea) na wanaume wakachakachua? tatizo liko wapi au ulifikiri woote humu viziwi wa yes yes tu!!! katika post iliyopita nimekupa mifano ya Nyerere, Magufuli , na sasa nimekuongezea Shibuda ili ujue naismamia ukweli na si ushabiki!!

By they way unamaana Slaa yuko against corruption kwa sababu yuko chadema, na akienda chama kingine hatakuwa akipigana na ufisadi! I mean alivyoondoka CCM hakuwa against rushwa, ila baad ya kuwa chadema, ina maan chadema ina mechanism ya ukiingia tu, automatically unakuwa unachukia rushwa?? hata kama Rostam akiingia leo CDM! so in other words Slaa ni kama robot tu akiambiwa ili anaenda na hana misimamo yake! who is controller?

I am sober sinywi pombe, wala sikushauri utume post humu ukiwa umelewa , lakini hii uliyotuma haujalewa uko fit kabisa, nadhani wakati unaituma haukuwa tungi, ila majibu baada ya hapo yanainyesha uko tungi.

Dogo tuendelee

(hapo kwenye red sijui umetumia kigezo gani?)

Slaa(PhD) anweza kuhama Chadema. Lakini. ataenda wapi? Labda aanzishe chama chake kingine.

Kuhama kwake CCM na kwenda Chadema, kwa mtu makini kama Slaa(PhD) ilikuwa uamuzi sahihi kwa sababu sera za Chadema zimekaa ki-ukombozi. Alikimbia CCM baada ya kuona sera zimekaa 'kimkate' lakini ukweli ni 'jiwe'.

siamini na sikubali kuwa sera za Chadema ni sera za Slaa(PhD) kama mtu.

Kwa hiyo hoja zenu za ku-personalize mambo hatuzitaki.

Hazina mashiko.
 
By they way unamaana Slaa yuko against corruption kwa sababu yuko chadema, na akienda chama kingine hatakuwa akipigana na ufisadi! I mean alivyoondoka CCM hakuwa against rushwa, ila baad ya kuwa chadema, ina maan chadema ina mechanism ya ukiingia tu, automatically unakuwa unachukia rushwa?? hata kama Rostam akiingia leo CDM! so in other words Slaa ni kama robot tu akiambiwa ili anaenda na hana misimamo yake! who is controller?
Issue hapa sio what he said ina ukweli gani.... issue ni kwamba ina manufaa gani...... What he did was a cheap shot kwa Chadema kuwa wao wasingeshinda watu wagefata sera...... (the truth is watu have moved to Chadema because they are tired of CCM; and among wapinzani Chadema looks as a likely candidate) So all those issue about Ubepari is just too low.

let me ask you did Americans vote for Change, Obama, or Democrat policies?
Did English people vote for Cameron or for Conservatives policies?

The truth is deep down people dont follow Political Parties like a Football Club; People are looking for change and betterment of their life so they are looking who can get them there
 
Siyo rahisi kabisa kwa viongozi wa chadema kuongea 'upuuzi' unajua upuuzi hauna standard, kama mnataka CDM wote wawe na akili moja ya ''zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama/ au mwanzisha chama na mkwewe'' hautaona huo upuuzi.

Ila tumeona kweli chadema ikiwafukuza wale wote wanaozungumza 'upuuzi' kama Wangwe, Kafulila, na sasa mnamtaka naibu katibu mkuu!

sijaona kabisa chama chenye nguvu ya kuwa na umoja katika lolote lile kama Chadema, hapo awali CCM walikuwa hivyo kwenye issue za ufisadi!!! kwa sasa chadema kiko juu ya CCM kwa kila kitu! mmekosa rais tu!!! si umeona juzi ccm wamesema wamtoe Sita, woote wakakubaliana, si uliona katika wanachama million 4 wa ccm hakuna aliyetaka kuchukua form za urais eti wote wanataka JK aendelee, japo Shibuda alitaka kuchukua akawekewa mizengwe? 'mnaye' huyu tunasubiria tu!!

kwa misimamo yako na maneno yako sijaona tofauti ya CDM na CCM, ispokuwa kwenye herufi za kati tu, 'C' na 'D' that shows chadema is another latest version ya CCM

Chadema is high time to know politics and politician, is high time to know how will you perfectly deal with them!
Wakati utafika... wote waliomo usingizini wataamka na kuyaona uyasemayo. Walisema wahenga "DUDU LIUMALO USILIPE KIDOLE"
Unajua Waberoya point iko wapi? wanachokitafuta sasa ni Mh. Zito apoteze wakati kujibizana nao hapa na ni wakati wa kuunda Halmashauri na kuwashukuru wapiga kura. then waje na hoja "si mnaona hata jimboni kwake kumemshinda?"
Narudia tena kwa wale wote ambao hawakuona nilichoandika awali:
BAADHI YA HALMASHAURI ZITAKAZOONGOZWA NA CHADEMA ZIMEAMUA KUTOTUMIA SERA ZA CHADEMA KUTEKELEZA MALENGO NA MIUNDO YA HALMASHAURI ZAO. Kwani hazitekelezeki.

Kwa sababu Halmashauri ni serikali kamili wameanza kujiundia mwongozo mpya utakaowafaa full stop!:teeth: anaebisha akachunguze kwa muda wake.
 
Wakati utafika... wote waliomo usingizini wataamka na kuyaona uyasemayo. Walisema wahenga "DUDU LIUMALO USILIPE KIDOLE"
Unajua Waberoya point iko wapi? wanachokitafuta sasa ni Mh. Zito apoteze wakati kujibizana nao hapa na ni wakati wa kuunda Halmashauri na kuwashukuru wapiga kura. then waje na hoja "si mnaona hata jimboni kwake kumemshinda?"
Narudia tena kwa wale wote ambao hawakuona nilichoandika awali:
BAADHI YA HALMASHAURI ZITAKAZOONGOZWA NA CHADEMA ZIMEAMUA KUTOTUMIA SERA ZA CHADEMA KUTEKELEZA MALENGO NA MIUNDO YA HALMASHAURI ZAO. Kwani hazitekelezeki.

Kwa sababu Halmashauri ni serikali kamili wameanza kujiundia mwongozo mpya utakaowafaa full stop!:teeth: anaebisha akachunguze kwa muda wake.

kWA TAARIFA YAKO, HALMASHAURI ZITAKAZOONGOZWA NA CDM SASA ZINAJIPANGIA ZITAENDESHWAJE NA SI KUFUATA SERA ZA CHADEMA!!!

umeongeza neno BAADHI.

kama CCM wenyewe wanatekeleza sera za Chadema (wengine wanasusia hata mashangingi), itakuwa halmashauri?

Acha upotoshaji.

Inaelekea hujui unachokisema.

nyamaza.
 
Siyo rahisi kabisa kwa viongozi wa chadema kuongea 'upuuzi' unajua upuuzi hauna standard, kama mnataka CDM wote wawe na akili moja ya ''zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama/ au mwanzisha chama na mkwewe'' hautaona huo upuuzi.

watu waliofilisika kisiasa wanaona hilo nalo ni hoja.

jambo la kufikirika.

anyway, baba yangu kule kijiji cha Mbala, Chunya hayuko interested na kufahamu uhusiano uliopo kati ya waanzilishi wa Chadema. anachojua sasa ni kuwa angalau kuna chama kinachoziishi fikra za Nyerere.

Kwani don't you feel like giving credit to Leticia and Vincent for joining Chadema, and not NCCR, CUF and other crap?

wivu na chuki binafsi vimewajaa.

poleni sana
 
David Kafulila mbele ya microphone.

Mbele ya macho ya Watanzania.

Anasema (nanukuu):

"Kama Watanzania wangezingatia sera za vyama wakati wa kuchagua viongozi, basi chadema kisingeshinda". Hajasema kivipi.

Sababu?

"Chadema ni chama cha kibepari" (akapigwa swali na mtangazaji, 'kwani ulipokuwa chadema ulikuwa hujui kama chadema ni cha kibepari?' hajajibu mpaka dakika hii). Akaendelea.....

"Sera za kubepari haziuzi Tanzania".

Maoni yangu.

Watanzania wa leo si wakupigia matarumbeta. Unapokosoa vyama vingine, ukumbuke na kutoa alternative. Chama gani ni bora zaidi ya Chadema?

Nilichokiona kwa bwana Kafulia ni uso wa mtu 'aliyetumwa'. wivu na chuki dhidi ya chadema. Chadema kitasimama.

Kama bwana kafulia amechaguliwa kama 'mtu' na si kwa 'sera', basi hilo ni tatizo la wananchi wake. ana kazi ya kutoa elimu ya uraia kwa wananchi wa jimbo lake. na nina uhakika kama wananchi wa jimbo lake wataipata vema hiyo elimu ya uraia 2015 atarajie kupungukiwa wabunge kwenye chama chake au kukosa wabunge kabisa.

kwa ujasiri nasema:

Chadema msikubali kuungana na CUF na hawa waganga njaa kina kafulia.

Kafulila tungemwelewa kama angetuambia ubaya wa kuufuata ubepari na akatuambia chama chenye sera mbadala. Ni kweli nchi hii ubepari ulichukuliwa kama uwizi na hilo ndo lilikuwa kosa la mwalimu Nyerere na hata wale waliomfundisha ujamaa.
Kitu ninachoshindwa kuwaelewa wanaharakati wengine ni pale wanapoukana ubepari. Ubepeari sio ufisadi ila mtu anaweza kuwa bepari fisadi kama RA au EL hapo ndo kuna tatizo lakini ubepari kama ubepari ni sera nzuri ya maendeleo. Hizo nchi ambazo kwa miaka mingi tumeambiwa ni nchi dhalimu kwa kuwa zina sera za kibepari ndizo nchi zenye kufuata kanuni nzuri za kufanya kazi na uwajibikaji mkubwa tofauti na nchi za kijamaa ambazo zimejaa ubabe na udikteta mpaka sasa zinaenda kufutika kwenye ramani ya dunia kwamba zilikuwa na sera hizo kama Russia, Uchina, Ujerumani Mashariki, PolandHungari na Tanzania ikiwemo.
Ujamaa ni lugha tamu tu ya wansiasa ndio maana CCM hawataki kuiacha lakini katika utekelezaji wa sera ni kuritimba mkubwa unaozaa ufisadi. Nchi za kijamaa hata hakiza binadamu ni msamiati vurugu tupu.
Hakuna sera za kijamaa 100% wala ubepari 100% huwa zinachangwanywa hizi na ndipo tunapata sera za kiliberali. CHADRPEMA kama wanafuata sera ya ubepari mi nawapa big up make ujamaa haiwezekani.
Katika mifumo ya maisha kuna mifumo mitano ikimalizia ubepari na ujamaa. Huwezi kwenda ujamaa hujapitia ubepari na ndio nchi zilizojifanya kuparamia ujamaa zimerudi kwenye ubepari mifano ya hizo nchi nizotaja. Ujamaa manake wote mnagwana kitu sawa sasa mtagawana nini wakati hamjapita mfumo wa uzalishaji na ulimbikizaji mali yaani ubepari na kupata mali hizo za kugawana sawa. Matokeo yake hakuna cha kugawana sasa kila mtu anatumia kamba yake kule, hakuna uzalishaji na mwishoni ni umaskini wa kutupwa.
Ubepari ni mfumo bora kabisa wa kuufuata kama mnataka uzalishaji na kuongeza uwezo kimaarifa na kisayansi hakuna namna kuukwepa. Aidha ni kutojua au unafiki kwa wanasiasa kuendlea kukazania ujamaa wakati hata waanzilishi wameshainua mikono wanarudi kwenyew ubepari.
Ubepari unahitaji tu kuweka sera za kumpa mtu haki yake kwenye nafasi aliyokuwepo awe tajiri au maskini na kutoa sera za kukuza mitaji na vipaji bila kikwazo chochote. Hii ndio maana Hakuna dola kubwa sasa hivi bila kufuata mfumo wa kibepari ambao ni mfumo wa kuimarisha uchumi na uzalishaji haswa¡

Kafulila kusema kwamba sera ya CHADEMA ya ubepari haiuziki sijui ana maana gani make hiyo ndiyo sera iliyopo wala siyo ujamaa. Ni mwananchi gani mjinga utakayemdanganya eti ujamaa ni bora kwa mashiko gani.

CHADEMA wanafuata ubepari yaani haki ya mtu kufanya kazi zake binafsi na kujipatia utajiri kadri ya kipaji chake ili mradi anafuata sheria bila kuulizwa. Hawataki mtu anayetumia nafasi yake kujiinua kwa kuwafisadi wenzake na serikali.

Hao tunaowachukia kama mabepari ni watu makini kweli na hawatumii migongo ya serikali bali juhudi zao kwa kiasi kikubwa na wamefanikiwa kuinua nchi zao kuwa bora kabisa kuliko hizo sera mbovu za vitabuni zisizofanya kazi.
Nawasilisha.
 
(hapo kwenye red sijui umetumia kigezo gani?)

Slaa(PhD) anweza kuhama Chadema. Lakini. ataenda wapi? Labda aanzishe chama chake kingine.

Kuhama kwake CCM na kwenda Chadema, kwa mtu makini kama Slaa(PhD) ilikuwa uamuzi sahihi kwa sababu sera za Chadema zimekaa ki-ukombozi. Alikimbia CCM baada ya kuona sera zimekaa 'kimkate' lakini ukweli ni 'jiwe'.

siamini na sikubali kuwa sera za Chadema ni sera za Slaa(PhD) kama mtu.

Kwa hiyo hoja zenu za ku-personalize mambo hatuzitaki.

Hazina mashiko.

watu waliofilisika kisiasa wanaona hilo nalo ni hoja.

jambo la kufikirika.

anyway, baba yangu kule kijiji cha Mbala, Chunya hayuko interested na kufahamu uhusiano uliopo kati ya waanzilishi wa Chadema. anachojua sasa ni kuwa angalau kuna chama kinachoziishi fikra za Nyerere.

Kwani don't you feel like giving credit to Leticia and Vincent for joining Chadema, and not NCCR, CUF and other crap?

wivu na chuki binafsi vimewajaa.

poleni sana

Naona unakua ila bado kidogo kuna mambo unakosea.

Post ya kwanza hapo juu umejibu vizuri, ila bahati mbaya sijasema sera za CDM ndio za Slaa, sijasema popote hilo.Nashangaa haujajibu kuhusu Shibuda!

Nimestic alichosema Kafulila kina ukweli kabisa, na sidhani kama lina ubishi saaana, hatujawahi kungozwa na chama kingine zaidi ya ccm, na watu hawajui tofauti ya sera, na hawaishi kwa sababu ya sera.yaani no one ever felt in this country kuwa sera za ccm ndio zinamfanya aishi, hiyo level kwa Tanzania bado ndugu yangu.

Unasema Slaa alikuwa makini kuhamia chadema? unasema hivi kwa sababu wewe ni chadema au ? je mwana-CCM akiipenda ccm kosa lake ni nini? I mean ungekuwa USA , ukiwa republic then ni bora kuliko democratic, huoni kama unakiuka haki ya binadamu ya uhuru wa kuamua na kuchagua??

Slaa alienda chadema kwa hiyari yake au baada ya kukosa nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi within CCM?? Slaa aliingia CDM kwa hasira na siyo kwa sababu kina sera makini!,Mpendazoe kaja CDM kwa sababu anazipenda sera? au shibuda naye alifanya hivyo, sema sasa hao ni mamluki!!

Haukumsikia Shibuda anasema yeye ni Drogba na yuko tayari kusajiliwa na timu yoyote, angekuwa CCM angekosa ubunge?


Hivi kwa nini hii defence mechanism imekuwa so common eti chuki wivu na ubinafsi wenu? miminimekuwa mkweli kwa chadema hata kabla ya uchaguzi wmaka huu,na sijaona kama kuwa na wabunge 46 kuna tija yoyote kwangu personally maana hamwezi hata kupinga bajeti!!!! chuki inatokana na nini? msijilinde katika hayo maneno,RATHER,kama mnaipenda nchi kuweni wakweli hata ndani ya chadema, I believe you will be doing fair justice to your own mind!!

My guess is that many like you dont know politics, and here I am to help you.
 
Issue hapa sio what he said ina ukweli gani.... issue ni kwamba ina manufaa gani...... What he did was a cheap shot kwa Chadema kuwa wao wasingeshinda watu wagefata sera...... (the truth is watu have moved to Chadema because they are tired of CCM; and among wapinzani Chadema looks as a likely candidate) So all those issue about Ubepari is just too low.

let me ask you did Americans vote for Change, Obama, or Democrat policies?
Did English people vote for Cameron or for Conservatives policies?

The truth is deep down people dont follow Political Parties like a Football Club; People are looking for change and betterment of their life so they are looking who can get them there

Got it bro! 'who'
 
...Ukifuatilia mazungumzo na kauli za wanasiasa wengi tulionao, bila kujali ni ccm, cdm, cuf, nccr, n.k utaona kwamba wengi wao si makini na mara kadhaa hawajui wanachosema kina-maanisha nini.

...Nitatoa mifano michache. Kwanza, Ndugu Kafulila anaposema cdm ni cha ki-bepari, chama kipi ni cha kijamaa? halafu, mabepari huwa na sera za kutoa elimu na afya bure?....anayo mifano? Pili, Ndugu Chiligati aliposema watapeleka hoja ya kuwaondoa wabunge wa cdm kwenye vikao vya bunge, alikuwa anafahamu kanuni za bunge, je, alikuwa anafahamu au amebashiri matokeo yake yatakuwa nini kama wangefanikiwa? je, angekuwa ametia maji kwenye moto au petroli? Tatu, Ndugu Hamad Rashid alipogusia suala la posho ya kiongozi wa upinzani bungeni na marekebisho ya kanuni walizozitengeneza wao wenyewe, alikuwa anajua anatafsirika vipi? je, hakufahamu kuwa ataonekana analichukulia suala zima kuwa too personal, na pengine anasononeka kukosa posho ile na kuukosa uongozi wa upinzani.

...waTanganyika bado hatujapata viongozi makini wa kutosha na ndio maana kuna madudu mengi kila siku yanaibuka kwenye vyombo vya habari juu ya viongozi. Hutana nafasi ya kutosha kujadili issues za maendeleo, tumebaki kuongelea pumba za viongozi kila kukicha! Nchi inaenda pabaya hii.

asante mwanangu kwa maoni yako na hasa hasa kumtaja mama yetu TANGANYIKA......
 
Kafulila tungemwelewa kama angetuambia ubaya wa kuufuata ubepari na akatuambia chama chenye sera mbadala. Ni kweli nchi hii ubepari ulichukuliwa kama uwizi na hilo ndo lilikuwa kosa la mwalimu Nyerere na hata wale waliomfundisha ujamaa.
Kitu ninachoshindwa kuwaelewa wanaharakati wengine ni pale wanapoukana ubepari. Ubepeari sio ufisadi ila mtu anaweza kuwa bepari fisadi kama RA au EL hapo ndo kuna tatizo lakini ubepari kama ubepari ni sera nzuri ya maendeleo. Hizo nchi ambazo kwa miaka mingi tumeambiwa ni nchi dhalimu kwa kuwa zina sera za kibepari ndizo nchi zenye kufuata kanuni nzuri za kufanya kazi na uwajibikaji mkubwa tofauti na nchi za kijamaa ambazo zimejaa ubabe na udikteta mpaka sasa zinaenda kufutika kwenye ramani ya dunia kwamba zilikuwa na sera hizo kama Russia, Uchina, Ujerumani Mashariki, PolandHungari na Tanzania ikiwemo.
Ujamaa ni lugha tamu tu ya wansiasa ndio maana CCM hawataki kuiacha lakini katika utekelezaji wa sera ni kuritimba mkubwa unaozaa ufisadi. Nchi za kijamaa hata hakiza binadamu ni msamiati vurugu tupu.
Hakuna sera za kijamaa 100% wala ubepari 100% huwa zinachangwanywa hizi na ndipo tunapata sera za kiliberali. CHADRPEMA kama wanafuata sera ya ubepari mi nawapa big up make ujamaa haiwezekani.
Katika mifumo ya maisha kuna mifumo mitano ikimalizia ubepari na ujamaa. Huwezi kwenda ujamaa hujapitia ubepari na ndio nchi zilizojifanya kuparamia ujamaa zimerudi kwenye ubepari mifano ya hizo nchi nizotaja. Ujamaa manake wote mnagwana kitu sawa sasa mtagawana nini wakati hamjapita mfumo wa uzalishaji na ulimbikizaji mali yaani ubepari na kupata mali hizo za kugawana sawa. Matokeo yake hakuna cha kugawana sasa kila mtu anatumia kamba yake kule, hakuna uzalishaji na mwishoni ni umaskini wa kutupwa.
Ubepari ni mfumo bora kabisa wa kuufuata kama mnataka uzalishaji na kuongeza uwezo kimaarifa na kisayansi hakuna namna kuukwepa. Aidha ni kutojua au unafiki kwa wanasiasa kuendlea kukazania ujamaa wakati hata waanzilishi wameshainua mikono wanarudi kwenyew ubepari.
Ubepari unahitaji tu kuweka sera za kumpa mtu haki yake kwenye nafasi aliyokuwepo awe tajiri au maskini na kutoa sera za kukuza mitaji na vipaji bila kikwazo chochote. Hii ndio maana Hakuna dola kubwa sasa hivi bila kufuata mfumo wa kibepari ambao ni mfumo wa kuimarisha uchumi na uzalishaji haswa¡

Kafulila kusema kwamba sera ya CHADEMA ya ubepari haiuziki sijui ana maana gani make hiyo ndiyo sera iliyopo wala siyo ujamaa. Ni mwananchi gani mjinga utakayemdanganya eti ujamaa ni bora kwa mashiko gani
.

CHADEMA wanafuata ubepari yaani haki ya mtu kufanya kazi zake binafsi na kujipatia utajiri kadri ya kipaji chake ili mradi anafuata sheria bila kuulizwa. Hawataki mtu anayetumia nafasi yake kujiinua kwa kuwafisadi wenzake na serikali.

Hao tunaowachukia kama mabepari ni watu makini kweli na hawatumii migongo ya serikali bali juhudi zao kwa kiasi kikubwa na wamefanikiwa kuinua nchi zao kuwa bora kabisa kuliko hizo sera mbovu za vitabuni zisizofanya kazi.
Nawasilisha.

There you are, muanzisha thread angekuwa kama wewe angekuwa mbali sana na tungepata mengi ya faida.

Kifupi alichosema Kafulila ni sahihi watu wanafuata mtu! ila katika usahihi au kutokuwa sahihi je alichosema kuhusu sera za chadema zina ukweli kiasi gani mpaka yeye azilaumu,

angalia nilipo highlight!

Ubepari ndani ya chadema ni sera sahihi kabisa inayotakiwa kufuatwa, maana hata hivi sasa tuko kwenye ubepari, ubepari ndio mfumo sahihi zaidi, uko fair kwa binadamu yeyote. asiyefanya kazi na asile na unavuna kadiri ulivyopanda sio kama ujamaa

Sera za chadema ni bora zaidi kwa Tanzania ya sasa kuliko za CCM, inaangalia mambo mengi mno na
na kwa uhalisia wake, though kwenye campaign kulikuwa na vitu vingi visivyo unareailstic au havikufanyiwa reserach, but that is politics

Kafulila sidhani kama anataka kutuaminisha watanzania wengi wanaupenda ujamaa, mfumo wa ujamaa umetufikisha tulipo na vita yangu kubwa na Nyerere ni sababau ya ujamaa, hauna mpango, ni wa kuuogopa kama ukoma!

kwa analyser wazuri utakuja kujua maneno ya kafulila ni sahihi zaidi kwa sababu anasema JK kachaguliwa kwa sababu ni JK na sio kwa sababu ya CCM, and I beg to say that is truth!!
 
Naona unakua ila bado kidogo kuna mambo unakosea.

Post ya kwanza hapo juu umejibu vizuri, ila bahati mbaya sijasema sera za CDM ndio za Slaa, sijasema popote hilo.Nashangaa haujajibu kuhusu Shibuda!

Nimestic alichosema Kafulila kina ukweli kabisa, na sidhani kama lina ubishi saaana, hatujawahi kungozwa na chama kingine zaidi ya ccm, na watu hawajui tofauti ya sera, na hawaishi kwa sababu ya sera.yaani no one ever felt in this country kuwa sera za ccm ndio zinamfanya aishi, hiyo level kwa Tanzania bado ndugu yangu.

Unasema Slaa alikuwa makini kuhamia chadema? unasema hivi kwa sababu wewe ni chadema au ? je mwana-CCM akiipenda ccm kosa lake ni nini? I mean ungekuwa USA , ukiwa republic then ni bora kuliko democratic, huoni kama unakiuka haki ya binadamu ya uhuru wa kuamua na kuchagua??

Slaa alienda chadema kwa hiyari yake au baada ya kukosa nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi within CCM?? Slaa aliingia CDM kwa hasira na siyo kwa sababu kina sera makini!,Mpendazoe kaja CDM kwa sababu anazipenda sera? au shibuda naye alifanya hivyo, sema sasa hao ni mamluki!!

Haukumsikia Shibuda anasema yeye ni Drogba na yuko tayari kusajiliwa na timu yoyote, angekuwa CCM angekosa ubunge?


Hivi kwa nini hii defence mechanism imekuwa so common eti chuki wivu na ubinafsi wenu? miminimekuwa mkweli kwa chadema hata kabla ya uchaguzi wmaka huu,na sijaona kama kuwa na wabunge 46 kuna tija yoyote kwangu personally maana hamwezi hata kupinga bajeti!!!! chuki inatokana na nini? msijilinde katika hayo maneno,RATHER,kama mnaipenda nchi kuweni wakweli hata ndani ya chadema, I believe you will be doing fair justice to your own mind!!

My guess is that many like you dont know politics, and here I am to help you.

hizo nyingine ni bla-bla tu.

ila hapo kwenye red.

narudia tena. watu kama wewe ndiyo tunaowaita wapotoshaji. munapenda watanzania waendelee kuwa na mawazo mgando. wawe na mawazo ya 'watu kufikiria kwa niaba yao'

nadhani unasoma alama za nyakati.

darasani kwangu karibu wote ni chadema. ccm ni wa kuhesabu na hawataki wajulikane. darasa la chuo kikuu. siyo darasa la shule ya kata.

maneno yako yataeleweka na watu wa nyanguge. siyo watu wa segerea. watu wa mijini.

hoja yako kuwa watanzania hawajui tofauti ya sera haiwezi kuwa na mashiko kwa kizazi cha leo hasa kilichoenda shule.

kwa mara nyingine tena nimeku-disqualify.
 
Wanasiasa wote duniani wako hivyo, you can imagine sera za wanafunzi wote shule ya msingi watakuwa na computer ili waweze kufundishwa kwa online katika nchi kama yetu hii si upumbavu?
Mi naona kuwe na Technologia mtu akikuudhi na yuko kwenye TV unamshuti apo apo kwenye screen na anakufa huko aliko.

Mkuu,
hili wazo ni la kufanyiwa kazi..likifanikiwa litapunguza kwa kiasi kikubwa maboreko yanayosababishwa na hawa watu
 
Kijana bado ana hasira. Sikiisha atakuwa anaongea akitumia akili badala ya mdomo tu.
 
Njaaa inawasumbua wote hawa kuanzia hamadi rashid, kafulila na wengineo -mbona chadema hawakubadili kanuni ili waongoze kambi ya upinzani. Hamadi rashidi acha njaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa zako chadema inahaki kikanuni kuunda kambi acheni kelelellllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllele
 
Kafulila kafulia, ni njaa tu anaganga, look at his face utajua mengi, mm nilipata Div 1 ya point 9 F4 na F6 div 1 ya point 5, so if u see deep. deep within Kafulila nothing he knows, njaa zaidi ya akili inamtawala, na CDM walivyojua
tokamwondoa, it doesn't matter kashinda ubunge, wapo bogus wengi wabunge, ana short mind, na niseme Kafulila
ujue hana akili eti chagua mtu na si sera, what hell is he talking? ana njaa sana mtoto huyu, na naomba tusimjadili
hafai, CDM twende mbele, no kurudi nyuma, let use our powerful mind muscles, kafulila is nothing, njaa tu
 
Ujamaa umeshakufa, na hakuna mwenye muda wa kufufua mfumo ambao hauna dira wala muelekeo. Kusema CDM ni chama kinachofuata sera za Kibepari nadhani pia ni kukosea. CDM nao hawana sera za kipepari wala za kijamaa. Lakini swala muhimu ni moja, katika karne hii ya 21 hakuna nchi inayoshikilia sera za upande mmoja bila kuchanganya. Ubepari wa Adam Smith umeshakwisha na ujamaa wa Max umeshakwisha. Hivyo chama chenye dira na muelekeo kinapaswa kusoma nyakati na kuchanganya au kuiba kutoka kwenye kila upande wa ideology. Mfano free education kwa watoto wetu mpaka form six hii ni idea ya kijamaa ambayo Tanzania tunaihitaji. Kuondoa serikali kuongoza makapuni ya uzalishaji hii ni sera ya kibepari ambayo tunaihitaji.

Tukija kwenye swala la Kafulila, kwanza angalia political model wake ni nani? Ni dhahiri kwamba Zitto amechangia kwa kiasi kikubwa Mh. Kafulila kufika hapo alipo, sasa ni wazi kabisa Mh. Kafulila anataka kutumia same political style ambazo Mh. Zitto alianza nazo, kitaalamu tunaita Political Gotcha. Mfumo ambao unatafuta popular issues ili uweze kushinda au kupata mass support. Hizi ni siasa ambazo ni dead end.

Ushauri kwa Mh. Kafulila, kwanza soma viongozi wenzio mbali mbali Duniani walifanya nini kufikia malengo yao. Kuwa msikivu kutoka kwenye pande zote mbili. Achana na personal attack politics kwani ni dead end. Mwisho jifunze ni jinsi gani sera zinafanya kazi na sio kuropoka ropoka bila research.

Na kwa wabunge vijana, Watanzania wamewapa dhamana kubwa sana. Vijana hawa ndio watatoa hatima ya Tanzania. Nashauri vijana hawa wasome baadhi ya vijana wenzao wa chache mwaka 1961. Wajifunze njia za uongozi, waelewe kwamba Ubunge sio kazi mchezo, ni dhamana kubwa sana ambayo ni ngumu kuilinda. Watanzania ni masikini wakutupwa, mfumo unaowaongoza hawa masikini unatengenezwa na watu wenye imani kwamba umasikini hautokomezeki.

Kampeni zimekwisha sasa, tunataka execution ya sera zote ambazo tumezisikia. Badala ya kupigizana kelele nani wajamaa nani mapebari nendeni mkabadilishe maisha ya Watanzania.
 
Back
Top Bottom