Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Alichosema au kiandika Kafulila ni cha muhimu sana, ila kama kawaida kwa sababu siyo chadema au la, basi hatasikilizwa
Huyu jamaa hana nguvu ya chama, hana support ya wapinzani wengine
cdm na ccm wakubaliana kukubaliana
Ila bado kuna siku hili litazua matatizo
KAFULILA HONGERA SANA
Huyu jamaa hana nguvu ya chama, hana support ya wapinzani wengine
cdm na ccm wakubaliana kukubaliana
Ila bado kuna siku hili litazua matatizo
KAFULILA HONGERA SANA