Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,215
Kauli mbiu aliyoitoa Bungeni akichangia hotuba ya makadirio ya Budget ya wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi kuwa CCM itaondoka madarakani kwani uwezo tunao na sababu zipo na kuwa hata wao CCM wanaelewa hilo maana hata katika makorido wanakiri imenifurahisha.
Jee wadau tunasemaje kwa kauli hiyo thabiti na ya kutia moyo?
Jee wadau tunasemaje kwa kauli hiyo thabiti na ya kutia moyo?