nrongalema
Member
- Apr 11, 2011
- 48
- 5
...kama mtakumbuka hawa wabunge ndio walikuwa vinara wa uasi dhidi ya cdm kuhusu kambi rasmi bungeni..! Sasa wanakula walichovuna..! Ninamuonea huruma sana kafulila(kijana)..ndani ya miaka 2 umeshahama vyama vitatu(3)...kaka kafulila tuliaaaaaaaaa...kuwa kama mentor wako zitto.!