TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Kuwepo NCCR ni sawa na upo CCM
ngoja tusibiri tuone spika atawapanga pamoja na mbatia au vipi ktk bunge lijalo?
Kuwepo NCCR ni sawa na upo CCM
ccm hatumtaki hata kidogo
Mtaniwia radhi but toka zamani wabunge wa upinzani toka Kigoma wamekuwa vimatatizo mara wanapoaminiwa na wananchi.. Kuanzia Amani Kaborou (samahani kama nimelikosea jina)..