Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
hawana cha kusema bila kuitaja CCHADEMA hawa!! CCM nao hawana jipya bila kutaja CHADEMA..........Yawezekana Machali yupo sawa lakini mbona kama anavutia upande wa CHADEMA sana. Migogoro ndani ya NCCR inahusishwaje na CHADEMA? Hapo napata uwalakini na naelekea kukubaliana na mjumbe aliesema huyu Machali ni kibaraka wa CDM aliye ndani ya NCCR.