Hbr za kuaminika,ni kwamba bodi ya mikopo imetolewa kafara,na inavunjwa!plus,DOWANS,haitalipwa!
Hbr za kuaminika,ni kwamba bodi ya mikopo imetolewa kafara,na inavunjwa!plus,DOWANS,haitalipwa!
Once Upon a time nilikuwa Waziri Mkuu katika chuo Kikuu hapa Bongo, nilichojifunza wakati ni kitendo cha Hazina kutopeleka fedha Bodi kwa Wakati so kama hilo tatizo bado lipo hata wakivunja Bodi wakaunda taasisi bado Wasomi wa vyuo vikuu wataendelea kusota tu
Mkuu ya kweli haya??? Usiache niruke nivunje mguu bure!!Hbr za kuaminika,ni kwamba bodi ya mikopo imetolewa kafara,na inavunjwa!plus,DOWANS,haitalipwa!
La kuvunda halina ubani!!! Hata wafanye nini kwa sasa hawa CCM hatuwataki!!! We can't take the sheet no more!!!
Hbr za kuaminika,ni kwamba bodi ya mikopo imetolewa kafara,na inavunjwa!plus,DOWANS,haitalipwa!