Gobret
JF-Expert Member
- Jun 11, 2010
- 320
- 88
Kiongozi wa dini anayetambua nafasi yake hawezi kusema au kushawishi kumchagua kiongozi fulani. Ndicho walichofanya viongozi wetu hawa wawili wa imani. Askofu Kakobe ameonyesha msimamo gani tuwe nao ktk kuchagua. Amesema tuangalie zaidi uwezo wa mtu mhusikana ktk kuleta maendeleo kwa watu husika hata kama ana madhaifu mengine. Kwa kuzingatia kuwa Hakuna mtu mkamilifu. Kadinali Pengo hivyo pia amewaasa watu wenye mapenzi mema kwa TZ kuchagua kiongozi bora ambaye hahongi watu kwa kanga etc, tunajua wanaotoa rushwa ZA NAMNA HII ni CCM. TUWANYIMA CCM KURA. WAKOSE KURA KAMA WALIVYOKOSA TANU. WATANZANIA TUJALI ZAIDI TZ YETU. KULIKO KITU KINGINE. KAMA NIMACHAFUKO NANI ATAOKOKA. HIVYO KILA MWENYE MAPENZI MEMA NA TZ ATAWANYIMA HAWA CCM. CCM WAMEOZA, WANANUKA RUSHWA. HAWANA NIA NJEMA NA NCHI YETU. TUNATESEKA WAO WANASHEREKEA NA FAMILIA ZAO. CHUKUA TAHADHARI MAPEMA. TUWAWEKE PEMBENI WAGEUKE OMBAOMBA. KILA LA KHERI WATZ. KTK MAAMUZI YENU.