Kweli Pakajimmy nimecheka mpaka machozi yakanitoka
Kama watu wameweza kumdanganya kipindi akiwa normal kabisa, kampeni hazijaanza, itakuwa ya sasa hivi wakati amepagawa?...Sielewi washauri wake wanamsaidiaje huyu rafiki!...Anyway, kwavile waliopo karibu naye sana kwa sasa ni akina MAKAMBA i dont blame him so much...ni mavuvuzela anayoandamana nayo!...what a shame!