hivi haiwezekani akawa amezi-print yeye na kuwapa watu wajifanye wanazirudisha?
Hivi ni CDM pekee wanao hama kurudi ccm, mbona hatusikii wanachama wa vyama vingine wakifanya hivyo.
Hii inaonyesha mbabe wa ccm sasa ni CDM na ni tishio ndio maana mbinu hizi za kitoto za kujaribu kuudanya umma wa watanzania.
Ila nimekumbuka vyama vingine vilishajiunga na ccm muda kitambo.
Hata mie nawashangaa mbona katika mikutano ya CDM zinazorudishwa ni kadi za CCM tu! Hakuna za UPPDP, TLP ama NLD?Mbona sioni kadi za nccr mageuzi, tlp, cuf na vyama vingine zaidi ya cdm?
Hizo ni siasa za kijinga. Ukiona mwenzio anakubalika kaa chini ujiulize. usitafute mchawi. CHADEMA ni kiboko bwana...