Kadi feki za CHADEMA zachapishwa na CCM kuwapa raia wazirudishe ktk mikutano yao

akizipokea anazipeleka wapi? zinamsaidia nini....au anazifananisha na magamba yaliomshinda? hata ziara zake hazina tija kwa wtz maisha bado yanazidi kuwa magumu ....
 
Habari za kuaminika kutoka katika chanzo kimoja ambacho kwa sasa nisingependa kukitaja.
CCM wameanza mchezo mchafu wa kuchapisha kadi feki za CDM na kuwapa baazi ya wanachama wa CCM kwa masharti yakuzirudisha wafanyapo mikutano yao kwa nia na mazumuni ya kupotosha Umma wa watanzania kwamba CDM haikubaliki kitu ambacho si sahihi.
Nyie CDM ACHENI kutunga uongo,
 
Simba akikosa nyama hula majani,.... hebu niambieni hawa watoto ndio waliorudisha hizo card?? dirty tricks never work always. magamba yamekataa kuchomoka... heheheheheheeeeeeee!!!! mlifikiri kila kitu ni usaniii... mkome.
 
Wanataka kuwafanya watanzania kuwa wajinga kila siku si kweli mwisho ni mwisho tu hata ukufanya nini hakuna kuendelea wakubali wakatae. "kadi kama hizi mpya namna hii weeeeeeeeeee mnachapisha kutudanganya jamani mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Simba akikosa nyama hula majani,.... hebu niambieni hawa watoto ndio waliorudisha hizo card?? dirty tricks never work always. magamba yamekataa kuchomoka... heheheheheheeeeeeee!!!! mlifikiri kila kitu ni usaniii... mkome.

Kila nikiangalia kila kona ya Nape hapo simuoni mwenye sifa za kurudisha kadi ya chama cha siasa....! Nahisi hata hao walijua akina komedi watakuwepo....!
 
huyu Nape is not determined! Ndio maana aliogopa kuanzisha CCJ na kukimbia, lakini akumbuke CCM imebaki jina na sio muda mrefu yote yatatimia na aibu itawafikia wote wanaofanya haya.
 
Ccm ni kama big g iliyosha utamu..what next ni kuitema.:a s 103::a s 103::a s 103:
 
Habari za kuaminika kutoka katika chanzo kimoja ambacho kwa sasa nisingependa kukitaja.
CCM wameanza mchezo mchafu wa kuchapisha kadi feki za CDM na kuwapa baazi ya wanachama wa CCM kwa masharti yakuzirudisha wafanyapo mikutano yao kwa nia na mazumuni ya kupotosha Umma wa watanzania kwamba CDM haikubaliki kitu ambacho si sahihi.

Hizo zinaitwa cheap dirty politics, katika karne hii hazilipi, zilitumika wakati cold war na kundi la USSR, ambalo lilishasambaratika (Glastnost and Perstroika). Sasa anaetaka kujisambaratisha (CCM) anafuata nyayo.:smow:
 
Kurudisha kadi si ishu kbs yaani kweli tu masikini wa akili kiasi hiki nchi zilizoendelea zitakuwa na haki ya kutunyanyasa kama tutaendelea kuwapa viazi na vilaza uongozi
 
Nape yuko ku-browse thread hii muda huu. Umefulia waambie wananchi ni kwanini bei ya cememnt imekuwa 16000, leo betri ndogo kabisa zilizokuwa zikiuzwa 200 juzi kati sasa zinauzwa 500, zile dry cell kubwa sasa ni 800 kutoka 400, waambie ni kwanini serikali yenu ni ya kisanii iliyopoteza heshima yake mbele ya jamii. Umepakaziwa gari bovu kwenye mteremko mkali!
 
hiyo janja ya nyani tulishaigundua siku ningi sana wanadhani watawarubuni wananchi kwamba chadema haikubaliki. Ukweli ni kwamba CCM sasa wamekalia kuti kavu....
 
thats politics ndio maana wanakitengo cha propaganda nadhani CDM nao waaanzishe kitengo kama hicho
 
Mie nasubiri tu siku ya mwisho ya siku 90 za kina RACHEL,halafu Nape baada ya siku tisini kupita tafadhari usipotee hapa jamvini.Tutahitaji uenezi wako ktk hili la Magamba ya kina RACHEL
 
Mie nasubiri tu siku ya mwisho ya siku 90 za kina RACHEL,halafu Nape baada ya siku tisini kupita tafadhari usipotee hapa jamvini.Tutahitaji uenezi wako ktk hili la Magamba ya kina RACHEL
..hivi ni tarehe ngapi vile???
 
Unfortunately it is too late for them! Kama ni kama ni gari moshi tayari lilisha gain momentum na akina NAPE wanajaribu kulizuia kwa kigingi cha kipande cha mti. Hebu niambieni/ au fanyeni tafiti ndogo tu, tafuta kijani yeyote 18-45 Mwulize kama anawaamini CCM au La! Ukihoji 10 tu utashangaa utakacho kisikia! We are not that into CCM. Wanachama wenu ni brain washed NA WAZEE!
 
Watu wenye akili zetu timamu tunasubili utekelezaji wa ahadi hizi na sio porojo za Nape.

icon1.png
Orodha ya ahadi za Kikwete kwa wananchi 2010-2015




  1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
  2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
  3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
  4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
  5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
  6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
  7. Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
  8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
  9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
  10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
  11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
  12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
  13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
  14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
  15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
  16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
  17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
  18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
  19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
  20. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
  21. Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
  22. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
  23. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
  24. Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
  25. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
  26. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
  27. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
  28. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
  29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
  30. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
  31. Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
  32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
  33. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
  34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
  35. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
  36. Kulinda haki za walemavu - Makete
  37. Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
  38. Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
  39. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
  40. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
  41. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
  42. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
  43. Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
  44. Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
  45. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
  46. Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
  47. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
  48. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
  49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
  50. Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
  51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
  52. Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
  53. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
  54. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
  55. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
  56. Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
  57. Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
  58. Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
  59. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
  60. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
  61. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
  62. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
  63. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
  64. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
  65. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
  66. Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
  67. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
  68. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
  69. Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
  70. Barabara za angani ( fly overs )
  71. Machinga complex 3 kwa kila wilaya ya Dar es salaam.
 
Back
Top Bottom