Kadhia ya VODACOM na Utaifa wetu: LUNDENGA Kufungwa Kengele Rasmi

ONE OF MWAMVITA BEST FRIENDs on her FB WALL-''Really watanzania some of us are soooo freaking stupid......Gosh, Mpaka now huko ZNZ hawajajua hata who was the owner of ile meli iliyozama ila wamekazania tu kulaumu why miss tz took place. instead of kuelekeza hasira on why meli yenye uwezo wa kubeba watu 600 ilibeba watu 1000 wao wameng'ang'ana on who was having a jolly good time that day,how the **** is that going to make things better? meli imeondoka bandarini''inaelemea one side kwa mizigo mingi,why not deal na watu waliofanya uzembe.instead stupid politicians wa chadema wamepata opportunity ya ku attack CCM, and waznz wamepata opportunity ya ku question muungano na bara.how unfair is that? DEAL WITH THE REAL ISSUES JAMANI,,MNGEPIGIA KELELE PUBLICLY NA KUDEMAND KUJUA MMILIKI WA MELI ILE MTAISAIDIA ZAIDI ZNZ na sio kuuliza why miss tz went down.septembe . r 11th ilitokea marekani na oscars hazikuwa cancelled ila watz bila majungu hamuoni raha.stupid... ANAENDELEA KUTOA MSISITIZO-''KAMA UNA ANY OPINION YA KISHAMBA YA KUBLAME VODACOM OR MISS TZ DONT COMMENT ON MY STATUS, IF U DONT AGREE WITH WHAT I SAID FEEL FREE TO REMOVE ME FROM YOUR FRIENDS'S LIST....''SASA SIJUI MTU KAMA HUYU ATAMSHAURI NINI MWAMVITA KAMA UUNGWANA KWAKE NI KAULI
CHAFU.




thats Mange Kimambi!!
 
Niini ingekuwa gharama ya ku-call OFF Miss Vodacom? Is it TZS 1bil? TZS100mil? or what?
 
SUK kwa niaba ya wafiwa imekataa kupokea misaada toka vodacom kwakuwa walidhamini shindano la miss tanzania huku wazenji wakiwa kwenye maombolezo.

mbona walimpokea mkapa alipotoka kuzindua kampeni igunga au alikuwa na maombolezo ????
 
Kuanzia siku ile ya Miss Vodacom, nimejitoa kwenye mtandao wao! Wamepoteza good social image! Hakuna maana yoyote ya kuonyesha corporate social responsibility kwa kugopa hasara ya kukodi ukumbi na vipodozi, wangekubali kupata hasara hiyo but in other side they could show their social concern na watu wangeiheshimu vodacom zaidi, poor marketing plan especial in societal concept!
 
Tatizo ni uroho wa viongozi wetu, wengi wapo kwenye payroll ya Vodacom, nyie mnaotetea eti walishalipia ukumbi nadhani mna upeo duni wa kuelewa, PR ya company hasa ya service companya kama Vodacom ni ghali sana kuliko gharama walizotumia kwenye hiyo miss ukahaba, kama kungekuwa na competition ya kweli Tanzania Vodacom ingekuwa kwenye matatizo makubwa kibiashara.
Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
mbona walimpokea mkapa alipotoka kuzindua kampeni igunga au alikuwa na maombolezo ????

Mkuu unasahau kwamba huyo mzee ni mstaafu wa chama kilicho kwenye "power sharing" agreement kule zenji? na siku ya tukio la kuzama kwa meli alikuwa anazindua kampeni igunga, wala hakushtuka na hawezi kulaumiwa. Vodacom wanalaumiwa sana katika hili, utashindwa kushangaa wameingiaje hapo??
 
napita tu hapa.Maana wachangiaji wengine ni cutomer relations wa hii kampuni
 
katika sakata hili la VODACOM sijasikia mtu akigusia suala la vyombo vingine vya habari kama clouds, C2C, EATV, DTV na vinginevyo ambavyo vimekuwa vikiendelea kupiga muziki wa starehe kuwaburudisha watu kama kawaida ingawa serikali imetoa siku 3 za maombolezo tamati yake ikiwa ni leo. hii ina maana vyombo hivi havijaguswa na janga hili, nakumbuka baba wa taifa alipofariki mwaka ule serikali ilitangaza siku 30 za maombolezo hakuna kituo hata kimoja cha redio au televisheni kilichopiga muziki wa burudani isipokuwa nyimbo za maombolezo kwa muda wa siku zote 30, lakini leo siku 3 tu burudani na muziki kama kawaida na hakuna anayeliongelea hili.

We uko wapi? tangu jana watu wanailaumu TBC1, kwa sababu ni chombo cha taifa na Vodacom kwa kuwa ndio imebeba jukumu la taifa, VODACOM MISS TANZANIA na sio CLOUDS MISS TANZANIA.
Auwezi kuilaumu star tv, hivyo ni vyombo binafsi vya habari, tunalaumu vyombo vya umma.
KUWA MUELEWA.
 
kwa wazanizibari umiss ni ukafir sasa wanacho bwata bwata kitu gani? mpssxxyyy..wao wana nchi yao na rais wao sisi vivo hivyo
 
kama kungekuwa na competition ya kweli Tanzania Vodacom ingekuwa kwenye matatizo makubwa kibiashara.

Hata wafanye tasmini sasa hivi, tanzania visiwani vodacom imeshuka market, na itaendelea kushuka tu, ndio maana mchango wao umekataliwa.
 
Ccm nao waliendelea na kampemi igunga wao mwawafanya nini?
 
Upuuzi tu na kutojua nai ni nani na anawajibika vipi
Hapa kuna siasa za maji taka zimeingizwa hapa
Bila kusahau ushindani wa biashara kwa maana ya kuchafuana kibiashara
Vile vile SMZ inatumia kama mgongo ku divert issues
Na nimatokeo ya wanopinga vichupi kuendelea hapa bongo
Plus umbumbu wetu wa kuto jua lino anafanya nini na Voda alifanya nini

Ukijumlisha hayo yote si rahisi kama unaupeo mdogo kujua hii issue imekolezwa na hayo
Kumbuka Mkapa alisherehesha kama kawa uzinduzi, mechi ya Azam kama kawa lakini havitajwi kabisaa
Tusitumike kama makondoo tutumie akili zetu kupokea haabari kisha tuzichuje kwa weledi wetu, na si kuimeza nzima nzima
 
kama kweli watanzania wangekuwa na majonzi kama ambavyo ninyi wenye akili fin yu mataka watu waamini basi viti vingekuwa vitupu pale ukumbini. Kitendo cha viti kujaa ni ishara tosha ya kuwa our society every bady for him/herself. Ndio maana wakubwa wanafuja fedha za huduma za jamii na kujijengea mahekalu na maskini kufa kwa malaki kwa sababu ya kukosa huduma.
Wewe ndio ziro kabisa, naona ajira yako ya kuuza vocha ndo unayoitetea huna lolote. msiba huu ungekutokea wewe labda ungekuwa na uchungu.
 
Kama mfanya biashara makini lazima ufikirie na utenge dharula. Je kama ingetokea Rais au waziri mkuu kafariki na nchi ikatangaza maombolezo na kusimamisha shughuli zote za michezo na burdani . Ungefanya nini?

Nafikiri hiyo ni dharau dhidi ya Mamlaka ya nchi na kejeli kwa Taifa.

Pesa ni mali kuliko uhai.
Sioni wa kumlaumu hapa, pamoja na simamzi zetu tusiingize simanzi zetu katika biashara.
Siku ya 9/11 siku ya pili biashara kama kawa.
 
We uko wapi? tangu jana watu wanailaumu TBC1, kwa sababu ni chombo cha taifa na Vodacom kwa kuwa ndio imebeba jukumu la taifa, VODACOM MISS TANZANIA na sio CLOUDS MISS TANZANIA.
Auwezi kuilaumu star tv, hivyo ni vyombo binafsi vya habari, tunalaumu vyombo vya umma.
KUWA MUELEWA.
Vipi na CCM kule Igunga?
Mkuu hii issue imepikwa tu na kukuzwa kwa maanayake, weke up
 
Kibiashara zaidi.

Watu walishalipia Ukumbi.

watu walishakodi makorombwezo yote.

Mengine yote ni Blah! blah! na siasa tu.

najua wewe ni mlachako mzee lakini basi kua na huruma hata kidogo just imagine ni mama yako mzee yupo pale kwenye ile ajali mzee na bahati mbaya japo hatuombei hivyo ila awe amefariki mzee utasema kitu kama hicho kweli...?

unajua bado ule uzalendo wa kusema tunapendana ni kwamba haupo kabisa yani ni kwa maneno tu.! na ndio maana yani kila mtu anafanya kama anavyojisikia na ndio maana hata inawezekana wakati hata jirani yako amekufa unaweza ukawa unafanya sherehe yani kwako haina mguso wowote..! mimi ninaona kama tumeshindwa kuona kua hili ni tatizo na tukawa tunaweza kufanya ya kwetu tu na tukawa tunatetea ujinga..! basi tusilalamike wakati tunapotafuniwa hela zetu za kodi na hawa mafisadi...! manake kama wakati wa uchungu kama huu wewe huwezi hata kumkumbuka mwenzako...! wewe na fisadi anaekula mamilioni wakati vituo vya afya havina hata magodoro ya kuwalaza wagonjwa mnatofauti gani..?
 
katika sakata hili la VODACOM sijasikia mtu akigusia suala la vyombo vingine vya habari kama clouds, C2C, EATV, DTV na vinginevyo ambavyo vimekuwa vikiendelea kupiga muziki wa starehe kuwaburudisha watu kama kawaida ingawa serikali imetoa siku 3 za maombolezo tamati yake ikiwa ni leo. hii ina maana vyombo hivi havijaguswa na janga hili, nakumbuka baba wa taifa alipofariki mwaka ule serikali ilitangaza siku 30 za maombolezo hakuna kituo hata kimoja cha redio au televisheni kilichopiga muziki wa burudani isipokuwa nyimbo za maombolezo kwa muda wa siku zote 30, lakini leo siku 3 tu burudani na muziki kama kawaida na hakuna anayeliongelea hili.

Kweli kabisa watu hili la burudani zinazotolewa na vituo vya redio na television hawavioni...
 
kwani akikamatwa mwizi akataja na wenzake asamehewe? Voda wamechemka kwanza kubalini hilo tena wamerusha ktk tv inayoonekana dunia nzima,sasa kama wanatutajia wengine sijui CCM,azam e.t.c fine!
 
Mkuu hapa ishu ni fedha ya nani imetumika kulipia?

Hiyo siyo issue ya msingi. Issue kubwa ni nini kilisababisha au nani alisababisha ajali iliyoua watu wengi wasiokuwa na hatia. Tukipoteza muda kuangalia nani alilipia ukumbi wa mashindano ya ulimbwende tutashindwa kupata majibu sahihi ya tatizo kubwa la ajali nchini ambalo limetamalaki kwenye sekta zote za usafiri. Waingereza wanasema "We risk missing the bigger picture of the problem".
 
Back
Top Bottom