Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
- Thread starter
- #21
Siku hizi kila mwanasiasa akitaka ajulikane lazima ainange chadema?
CUF,NCCR na vinginevyo hawavioni?
Shame on you Adawi.
CUF ni mwanandoa wa nyinyiem na NCCR ni tawi la nyinyiem. Kwahiyo hawa kwa lugha nyengine ni ndugu hawasemani.
Chadema ndicho chama pekee kinachoonyesha kutambua uwepo wake na kuelekea kutimiza malengo yake kisiasa kwahiyo kuwa tishio kwa chama twawala.