mzee ! achana nae huyo ! anafahamika kwa hilo !
Angalau umekiri hilo na sasa ndio mwanzo wa kupambana na nyie mafisadi hapa JF umeanza.
mzee ! achana nae huyo ! anafahamika kwa hilo !
unataka kesi zianze kwenda cold moja baada ya nyingine every 5 months au ?? angalia zaidi nilichoandika on pg. 1 !
Angalau umekiri hilo na sasa ndio mwanzo wa kupambana na nyie mafisadi hapa JF umeanza.
right on point ! lakini keep in mind sio mafisadi tu, bali hata hao wanaouwa mashahidi dhidi ya ufisadi !
Wewe kada hayo ya mbowe ni ya lini mbona hujawahi kuanzisha thread ya watu wa EPA, KIWIRA nk wahojiwe?
Wewe kada hayo ya mbowe ni ya lini mbona hujawahi kuanzisha thread ya watu wa EPA, KIWIRA nk wahojiwe?
kakindo mzee,
lakini kwa hapa (hawa mashahidi wanaouliwa na ccm na mbowe anajua) sidhani kama hili suala ni la kichama ~ watu wanauliwa nenda rudi na mbowe anajua info zaidi kwamba ni ccm ndio wanaowaua hao wanaotoa ushahidi juu ya mafisadi na mwenyewe anadai kwamba watauwana hadi wataisha na wakiisha nani atahojiwa ?? kabla hawajaisha, mbowe nakushauri uende ukasema in more details ulichosema, na kama hao majamaa wataendelea kuuawana waendelee !
Sasa wewe Mkuu Mgonjwa unataka nani akuletee maisha bora?
Yule aliyepembeni au yule anayechukua kila kilichochako?
Mimi nilitegemea hizo shutuma za maisha bora ziwaendee wale wa kauli mbiu, waliohaidi watanzania kuwa sasa milo miwili ruksa na baada ya kufika madarakani wakaanza kura badala ya watanzania.
kwa hiyo kupinga ni lazima uanzishe thread au una maanga gani ??? mbona unanichekesha mzee !
3 ways to change things !
(a) you can change it yourself.
(b) if you cant change it yourself, speak about it - WHICH I DID
(c) if you cant speak about it - then FEEL BAD ABOUT IT !
wewe ulitaka nifanye kipi kingine hapo juu ??
usije ukakimbia tu !
...Hapa sio kufungua "case kuwa against na mbowe".. bali ni mahojiano ambayo yanatakiwa yafanyike ili ijulikane/kuiweka kikomo njia inayotumika kuuwa viongozi ambayo MBOWE amesema imetumika na ccm kuwauwa amina chifupa na ballali ! now people are getting things all twisted up, sijui kuwa against na mbowe!
...what am saying ni kwamba mbowe ahojiwe kuhusiana na kauli zake kwamba amina chifupa, na akina ballali wameuliwa
...sasa before hawajamalizana, nitafutahi kwanza watambulike na njia inayotumika kuua hao viongozi ili "chetu" kirudishwe then kama watataka kuuana they can go ahead !
CCM mnaua watoto wachanga, wakina mama wajawazito, wanafunzi masikini, wazee wastaafu kwa wizi na ufisadi uliokithiri na bado hayo yote hujayaona na umemwona MBowe tu!
Unapambana na mungu katika hili na nakuhakikishia kuwa mbinu zako zote zitashindwa kama ambavyo umeshindwa kila mara hapa JF kutetea ufisadi.
Kakindomaster,
Watanzania sio wajinga hata siku moja, wakati Kikwete mambo yanamwia magumu wananchi wanaangalia the next move. Sasa kama Mbowe is next lazima awe anaongea mambo yanaoonyesha utashi wa uongozi ambao atakuanao pale atakapo chaguliwa.
Sasa kama leo hii Mbowe anasema kila kiongozi aliekufa kauliwa na viongozi hata pale madaktari wanapothibitisha vinginevyo na kama Mbowe kwa tamaa zake za uongozi yupo tayari kuubadirisha ukweli uliothibitika ni juu ya wananchi kuhoji suitability yake kama rais.
Sina visa na Mbowe, ila maoni yangu binafsi ni kwamba Zitto na yule dogo Mnyika wana nafasi kubwa ya kukifanya Chadema kuwa chama madhubuti...ungozi ni pamoja na kuchagua maneno na vyazo vya habari...jambo ambalo linamshinda Mbowe.....just my opinion
NAKUUNGA MKONO 100% KWA 100% NA HIYO NDIYO KAULI ALIYOTOA MBOWE ! BUT HE HAD MORE DETAILS THAN YOU !
NOW WHAT AM SUGGESTING IS, MBOWE DID THE RIGHT THING BY POINTING THAT OUT, LAKINI SASA KAMA CCM WANAUA HAO ULIOWASEMA, IS HE DONE BY SAYING WHAT HE SAID ?? SHOULDNT HE BE ASKED AND START PIN POINTING EVERYTHING OUT RATHER THAN SAYING ALONE ??
NAONA UNAANZA KUELEWA TARATIBU, BUT I'LL BE PATIENT WILL YOU UNTILL YOU GET IT ! MAANA MTOTO MCHANGA HAZALIWI AKITEMBEA !
YOU'LL SOON GET WHAT AM TALKING ABOUT !
Nimekuelewa vizuri, ila nadhani ni kumuonea Mbowe kutaka ashurutishwe kuhojiwa na dola. Tukisema kwamba watu wote wanaosema vitu vyenye utata hadharani wahojiwe na dola, nchi inaweza kugeuka Police State ya kamata kamata. We do not wanna go there (or go back there - wakati wa Nyerere hako ka tabia kalikuwepo).
Ndio maana nikapendekeza CCM wamshitaki. Hii wewe unadhani sio mada hapa, lakini kama nia yako ni kupata ukweli wa nini anacho kijua Mbowe nilitegemea ungeiona hii pia ni viable alternative. Hii ya kumfuata na dola inaelekea kwenye mambo ya Criminal case ambayo kwa kweli ni kama kumnyima haki zake za kuongea huru. CCM wakimshtaki inakuwa kesi binafsi, na siyo ya dola. Kwa hiyo unakuwa ume balance pursuit of truth against Civil liberties za Mbowe. Na kama akikutwa hana vidhibiti siku nyingine atakoma kupiga mayowe ya uwongo.
Kwa hiyo, nilikuelewa vizuri, ila nikapendekeza njia nyingine itakayo tupeleka kule kule kwenye lengo lako zuri sana la kuwatambua wahusika "kabla hawajamalizana."
Kakindomaster,
Watanzania sio wajinga hata siku moja, wakati Kikwete mambo yanamwia magumu wananchi wanaangalia the next move. Sasa kama Mbowe is next lazima awe anaongea mambo yanaoonyesha utashi wa uongozi ambao atakuanao pale atakapo chaguliwa.
Sasa kama leo hii Mbowe anasema kila kiongozi aliekufa kauliwa na viongozi hata pale madaktari wanapothibitisha vinginevyo na kama Mbowe kwa tamaa zake za uongozi yupo tayari kuubadirisha ukweli uliothibitika ni juu ya wananchi kuhoji suitability yake kama rais.
Sina visa na Mbowe, ila maoni yangu binafsi ni kwamba Zitto na yule dogo Mnyika wana nafasi kubwa ya kukifanya Chadema kuwa chama madhubuti...ungozi ni pamoja na kuchagua maneno na vyazo vya habari...jambo ambalo linamshinda Mbowe.....just my opinion
Mbowe anaongea mambo mengi na hawezi kuongea namna wewe na mafisadi mnavyomtaka aseme. Hii issue ya kifo cha Balali na kile cha Chifupa kimezua maswali mengi na lazima MBowe atoe mawazo yake kwenye hili.
Zaidi ya hapa bado nakushaurini mmshitaki Mbowe ili muone kitakachotokea.
BTW, kuandika kwa CAP kunamaanisha kupayuka (kwenye mitandao).
Alichosema Mbowe ni maoni ambayo hata hapa JF wengi wameyasema. Issue ya Balali imejaa usanii wa hali ya juu na hili lazima lisemwe.
nakumbuka nilipokuwa darasa la kwanza, siku ya kwanza darasani, kuna dogo nilimsikia akimwambia mwenzake maneno kama hayo uliyosema ! kama utaelewa ninachomaanisha haya ~!
Kumbe nimeshajua wapi umepotoka sio kila mtu anaekuwa tofauti na wewe ni CCM, nmechangia thread hii kwa sababu nimeona kada ana point
We fikiria kama kila anejua siri ya ufisadi akiwa anauwawa hizo priorities za buzwagi, IPTL, richmond and so on ni nani atazisimamia?
Muache Mbowe aseme hizo njia za mauaji zinazo tumika ili tuzizuie na tuendelee kuwaweka wazi mafisadi bila ya kuogopa kuuwawa!