Kada wa CHADEMA amteka mtoto Dar

Lua

JF-Expert Member
May 19, 2011
704
305
mwanamke, Fatma Msuya mkazi wa mwenge nzasa, dar anamtafuta mtoto wake, Daudi Mbura (2), baadaya kutekwa na kuchukuliwa katika eneo la mlimani city na kada wa CHADEMA Gwakisa Mwakasendo.

taarifa za kutekwa kwa mtoto huyo zimeshapelekwa katika kituo cha polisi mwenge toka juzi namba ya rb ni mwe/RB/2648/2012. kwa mujibu wa bi rehema bibi wa mtoto aliyetekwa kuwa bwana Gwakisa ni mtaalamu wa mambo ya upimaji wa teknolojia ya digitali (GPS), wa chadema ambaye ni mkazi wa makuburi mabibo. baada ya kumteka huyo mtoto alizima simu zake za mkononi.

fatma alikua na mahusiano ya kimapenzi na Gwakisa na mwaka 2010 na kumi alipata mimba lakini mwanaume huyo alimtelekeza hadi hapo hapo juzi alipotaka kumchukua mtoto huyo.

kwa upande wake fatma alisema kuwa gari lilomteka lilikuwa na watu wanne mmoja wao ni mwanamke na baada ya tukio hilo mmoja aliacha na gari hilo na alipokuwa akiwasiliana na wenzake alishtukiwa na watu na kuanza kumshambulia kwa kipigo. kufika kwa fatma maeneo ya mlimani city kuitikia mwito wa bw.

gwakisa baada ya kumpigia simu kuwa wakutane neo hilo kwani anataka kumnunulia mtoto zawadi na ndipo bint huyo kufika eneo na kumkuta na zawadi ya baiskeli kubwa ambayo haiwezi kumfaa huyo mtoto. wakati fatma akishangaa hiyo baiskeli ndipo baba huyo alipomchukua mtoto na kukimbia kwenye gari na kuondoka nae.
source: jambo leo
 
Mtoto kachukuliwa na Baba yake!

Haya ni mambo ya kifamilia!
Mi naona mpaka hapo hakuna tatizo hata kidogo maana hata huyo baba wa mtoto atakuwa na maelezo ya kutosha!
 
Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
 
CHADEMA haina makada ina makamanda, huyo lazima atakuwa ni kada Gamba
mwanamke, Fatma Msuya mkazi wa mwenge nzasa, dar anamtafuta mtoto wake, Daudi Mbura (2), baadaya kutekwa na kuchukuliwa katika eneo la mlimani city na kada wa CHADEMA Gwakisa Mwakasendo.

taarifa za kutekwa kwa mtoto huyo zimeshapelekwa katika kituo cha polisi mwenge toka juzi namba ya rb ni mwe/RB/2648/2012. kwa mujibu wa bi rehema bibi wa mtoto aliyetekwa kuwa bwana Gwakisa ni mtaalamu wa mambo ya upimaji wa teknolojia ya digitali (GPS), wa chadema ambaye ni mkazi wa makuburi mabibo. baada ya kumteka huyo mtoto alizima simu zake za mkononi.

fatma alikua na mahusiano ya kimapenzi na Gwakisa na mwaka 2010 na kumi alipata mimba lakini mwanaume huyo alimtelekeza hadi hapo hapo juzi alipotaka kumchukua mtoto huyo.

kwa upande wake fatma alisema kuwa gari lilomteka lilikuwa na watu wanne mmoja wao ni mwanamke na baada ya tukio hilo mmoja aliacha na gari hilo na alipokuwa akiwasiliana na wenzake alishtukiwa na watu na kuanza kumshambulia kwa kipigo. kufika kwa fatma maeneo ya mlimani city kuitikia mwito wa bw.

gwakisa baada ya kumpigia simu kuwa wakutane neo hilo kwani anataka kumnunulia mtoto zawadi na ndipo bint huyo kufika eneo na kumkuta na zawadi ya baiskeli kubwa ambayo haiwezi kumfaa huyo mtoto. wakati fatma akishangaa hiyo baiskeli ndipo baba huyo alipomchukua mtoto na kukimbia kwenye gari na kuondoka nae.
source: jambo leo
 
mwanamke, Fatma Msuya mkazi wa mwenge nzasa, dar anamtafuta mtoto wake, Daudi Mbura (2), baadaya kutekwa na kuchukuliwa katika eneo la mlimani city na kada wa CHADEMA Gwakisa Mwakasendo.

taarifa za kutekwa kwa mtoto huyo zimeshapelekwa katika kituo cha polisi mwenge toka juzi namba ya rb ni mwe/RB/2648/2012. kwa mujibu wa bi rehema bibi wa mtoto aliyetekwa kuwa bwana Gwakisa ni mtaalamu wa mambo ya upimaji wa teknolojia ya digitali (GPS), wa chadema ambaye ni mkazi wa makuburi mabibo. baada ya kumteka huyo mtoto alizima simu zake za mkononi.

fatma alikua na mahusiano ya kimapenzi na Gwakisa na mwaka 2010 na kumi alipata mimba lakini mwanaume huyo alimtelekeza hadi hapo hapo juzi alipotaka kumchukua mtoto huyo.

kwa upande wake fatma alisema kuwa gari lilomteka lilikuwa na watu wanne mmoja wao ni mwanamke na baada ya tukio hilo mmoja aliacha na gari hilo na alipokuwa akiwasiliana na wenzake alishtukiwa na watu na kuanza kumshambulia kwa kipigo. kufika kwa fatma maeneo ya mlimani city kuitikia mwito wa bw.

gwakisa baada ya kumpigia simu kuwa wakutane neo hilo kwani anataka kumnunulia mtoto zawadi
na ndipo bint huyo kufika eneo na kumkuta na zawadi ya baiskeli kubwa ambayo haiwezi kumfaa huyo mtoto. wakati fatma akishangaa hiyo baiskeli ndipo baba huyo alipomchukua mtoto na kukimbia kwenye gari na kuondoka nae.
source: jambo leo
Ndugu nakubaliana na wewe taarifa hii ipi Jambo leo, lakini ebu tutafakari kidogo

- Unaposema Gwakisa ni kada wa CDM hivi CDM ikiajili mtu kwa ajili ya kazi zake ni Kada?
- Huyo Mwanamke anatoa kauli yakusema hadi hapo juzi alipotaka kumchukua inamaanisha anajua wazi jamaa alitaka kumchukua mtoto alipeleka wapi taarifa hizo? na kwa nini alikwenda na mtoto yule pale Mlimani City
- Inatakiwa ujue CCM wameshindwa mbinu zote za kuichafua CDM hadi wanataka kutumia mbinu dhaifu kama hizi, kilichotokea hapo ni baba kamchukua mtoto wake.
- Pia suala hili halihusiani kabisa na CDM.
 
Kazi kwelikweli bila chadema,kutamkwa watu wanaona hawajafanya kitu,na bado watakuwa wanaiota sasa baba kachukua mwana eti katekwa khaaa!...
 
Kaona akisema katekwa ndo atavuta hisia za watu, baba amteke mwanae!?
 
mwanamke, Fatma Msuya mkazi wa mwenge nzasa, dar anamtafuta mtoto wake, Daudi Mbura (2), baadaya kutekwa na kuchukuliwa katika eneo la mlimani city na kada wa CHADEMA Gwakisa Mwakasendo.

taarifa za kutekwa kwa mtoto huyo zimeshapelekwa katika kituo cha polisi mwenge toka juzi namba ya rb ni mwe/RB/2648/2012. kwa mujibu wa bi rehema bibi wa mtoto aliyetekwa kuwa bwana Gwakisa ni mtaalamu wa mambo ya upimaji wa teknolojia ya digitali (GPS), wa chadema ambaye ni mkazi wa makuburi mabibo. baada ya kumteka huyo mtoto alizima simu zake za mkononi.

fatma alikua na mahusiano ya kimapenzi na Gwakisa na mwaka 2010 na kumi alipata mimba lakini mwanaume huyo alimtelekeza hadi hapo hapo juzi alipotaka kumchukua mtoto huyo.

kwa upande wake fatma alisema kuwa gari lilomteka lilikuwa na watu wanne mmoja wao ni mwanamke na baada ya tukio hilo mmoja aliacha na gari hilo na alipokuwa akiwasiliana na wenzake alishtukiwa na watu na kuanza kumshambulia kwa kipigo. kufika kwa fatma maeneo ya mlimani city kuitikia mwito wa bw.

gwakisa baada ya kumpigia simu kuwa wakutane neo hilo kwani anataka kumnunulia mtoto zawadi na ndipo bint huyo kufika eneo na kumkuta na zawadi ya baiskeli kubwa ambayo haiwezi kumfaa huyo mtoto. wakati fatma akishangaa hiyo baiskeli ndipo baba huyo alipomchukua mtoto na kukimbia kwenye gari na kuondoka nae.
source: jambo leo

Kwa maelezo haya niliyo highlight hapo hakuna utekaji. Na ni dhahili kuwa huyo Gwakisa hakumtelekeza mtoto kama tunavyotaka kuaminishwa na mleta taarifa. Kama alimtelekeza iweje akubali kumpeleka mtoto ili anunuliwe zawadi. Lisingekuwa jambo rahisi kwa mtu aliyesusiwa mimba/ujauzito.
Je kunauhusiano gani kati ya anayedhaniwa mtekaji na Chama chake? Je hawezi kujadiliwa bila kukihisisha chama. Watu kama ninyi msipojirekebisha mtaanza kutambuana mtaani kwa vyama vyenu, kwamba yule mwenye baiskeli ile ni chama flani na yule mwenye nyumba pale ni chama flani na yule mgonjwa aliyelazwa ni chama flani. Si kila mahali siasa inatumika. Ni vema busara itawale kwa kila jambo.
 
Back
Top Bottom