Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Wanabodi.
Kada wa CCM, Mustafa Sabodo ametoa msaada wa kujenga visima 10 vyenye thamani ya Sh75 milioni kwenye jimbo la Ulanga Mashariki mkoani Morogoro.
Visima hivyo ambavyo tayari vimeishakamilika vimejengwa katika Kata ya Mwaya vitatu vipo kwenye shule ya msingi Libenanga, Sekondari ya Cilina Kombani na kijiji ch Nkongo.
Kata ya mbuga kisima kipo katika shule ya Mbuga, kata ya Ilonga katika Sekondari ya Ilonga, vingine vipo kata ya Chirombola, kata ya Vigoi. Kijiji cha Ebuyu na Safari.
SOURCE; MWANANCHI MAY 18 2012.
Kada wa CCM, Mustafa Sabodo ametoa msaada wa kujenga visima 10 vyenye thamani ya Sh75 milioni kwenye jimbo la Ulanga Mashariki mkoani Morogoro.
Visima hivyo ambavyo tayari vimeishakamilika vimejengwa katika Kata ya Mwaya vitatu vipo kwenye shule ya msingi Libenanga, Sekondari ya Cilina Kombani na kijiji ch Nkongo.
Kata ya mbuga kisima kipo katika shule ya Mbuga, kata ya Ilonga katika Sekondari ya Ilonga, vingine vipo kata ya Chirombola, kata ya Vigoi. Kijiji cha Ebuyu na Safari.
SOURCE; MWANANCHI MAY 18 2012.