Kada wa CCM Violet Mzindakaya asema ''NINGEKUWA MIMI NINGEJIUZULU'' kwenye ukuta wake wa facebook
MH mwinyi kujiuzulu kwako si kwamba ndo kutakushusha hadhi ila kutakujengea imani zaidi siku za usoni mwako,,,onyesha huruma yako kwa hilo mbele ya tanzania na kunusuru pia serikali ya CCM,,,,,ndo mana watu wanazidi kutuchukia.mtu unakuwa kama dikteta bwana-aliendelea kusema.
----kumbe wanajua hawapendwi---twende Kazi----
MH mwinyi kujiuzulu kwako si kwamba ndo kutakushusha hadhi ila kutakujengea imani zaidi siku za usoni mwako,,,onyesha huruma yako kwa hilo mbele ya tanzania na kunusuru pia serikali ya CCM,,,,,ndo mana watu wanazidi kutuchukia.mtu unakuwa kama dikteta bwana-aliendelea kusema.
----kumbe wanajua hawapendwi---twende Kazi----