zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Usaili uliokuwa umekamilika na leo, na form vi Art ndo wanatangulia monduli kuanza mafunzo na waliobaki watatakiwa kwenda Januari mwakani.
Cha kushangaza usaili ulipokuwa ukikaribia mwisho kuna Madaktar na kada tofauti wapatao 25 waliongezwa kutoka uraiani bila Wanajeshi hao wanaosailiwa bila kujua wametoka wapi,Pia na Wanawake 30 waliongezwa kuungana na wenzao kwenda mafunzo wote hao wametoka URAIANI ambako nafasi hzo hazikutangazwa.
Swali kwa Walinzi wa Ulinzi; Je hao watu 55 mliowaongeza hapo mmewapata wapi?
Wapo vijana wengi wanasubiri Nafasi hizo lakini teali mmesha zijaza kwa mlango wa nyuma...? Jeshi nalo limekuwa la vigogo na watoto wa wakubwa kwa nafasi kubwa?
Source;mmoja wa wasailiwa wa nafasi hizo.
Kiambatanisho.
Kujiunga JWTZ.
Uandikishaji
Askari Mtu yeyote ataandikishwa
kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sifa zifuatazo: - >Awe raia wa Tanzania
>Awe na Elimu ya kidato cha nne na kuendelea na aweamefaulu..
>Awe hajaoa/hajaolewa >Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 25
> Awe na tabia na mwenendo mzuri
>Awe na akili timamu na afya nzuri Masharti ya Utumishi Askari atapewa nambari ya utumishi baada ya kufaulu mafunzo ya awali.
Atalitumikia Jeshi kwa kipindi cha mwanzo cha miaka sita, baada ya hapo atafanya kazi kwa mkataba wa miaka miwili miwili kwa kibali cha Mkuu wa Majeshi.
Maafisa Bodi ya Uteuzi wa Maafisa (Officers Selection Board)
huwafanyia usaili askari
wenye elimu ya kidato cha
sita na kuendelea toka
Vikosini na Shule za askari
wapya (Recruitment Schools). Watakaofaulu masailiano hayo hupewa hadhi ya Afisa
Mwanafunzi (Officer Cadet), na hupelekwa Chuoni (Tanzania Military Academy) kwa mafunzo ya uafisa kwa muda wa mwaka mmoja.
Hichi vijana wengi hukisubiria...
Cha kushangaza usaili ulipokuwa ukikaribia mwisho kuna Madaktar na kada tofauti wapatao 25 waliongezwa kutoka uraiani bila Wanajeshi hao wanaosailiwa bila kujua wametoka wapi,Pia na Wanawake 30 waliongezwa kuungana na wenzao kwenda mafunzo wote hao wametoka URAIANI ambako nafasi hzo hazikutangazwa.
Swali kwa Walinzi wa Ulinzi; Je hao watu 55 mliowaongeza hapo mmewapata wapi?
Wapo vijana wengi wanasubiri Nafasi hizo lakini teali mmesha zijaza kwa mlango wa nyuma...? Jeshi nalo limekuwa la vigogo na watoto wa wakubwa kwa nafasi kubwa?
Source;mmoja wa wasailiwa wa nafasi hizo.
Kiambatanisho.
Kujiunga JWTZ.
Uandikishaji
Askari Mtu yeyote ataandikishwa
kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sifa zifuatazo: - >Awe raia wa Tanzania
>Awe na Elimu ya kidato cha nne na kuendelea na aweamefaulu..
>Awe hajaoa/hajaolewa >Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 25
> Awe na tabia na mwenendo mzuri
>Awe na akili timamu na afya nzuri Masharti ya Utumishi Askari atapewa nambari ya utumishi baada ya kufaulu mafunzo ya awali.
Atalitumikia Jeshi kwa kipindi cha mwanzo cha miaka sita, baada ya hapo atafanya kazi kwa mkataba wa miaka miwili miwili kwa kibali cha Mkuu wa Majeshi.
Maafisa Bodi ya Uteuzi wa Maafisa (Officers Selection Board)
huwafanyia usaili askari
wenye elimu ya kidato cha
sita na kuendelea toka
Vikosini na Shule za askari
wapya (Recruitment Schools). Watakaofaulu masailiano hayo hupewa hadhi ya Afisa
Mwanafunzi (Officer Cadet), na hupelekwa Chuoni (Tanzania Military Academy) kwa mafunzo ya uafisa kwa muda wa mwaka mmoja.
Hichi vijana wengi hukisubiria...