Chinantunu
Senior Member
- Mar 18, 2013
- 118
- 17
Ccm tayari mawazo yao ni kuwa Adam atagombea kupitia Chadema 2015 na wanakosa usingizi.Magamba hao ndio kawaida yao kutumia jina la Marehemu Baba yake wakati wakiomba kura hivyo kitendo cha yeye kuvua gamba kimewauma sana.