- Thread starter
- #61
makada kama hawa wanatakiwa wapewe jukumu maalamu kuendeleza moto wa mabadiliko eneo la kusini hasa baada ya viongozi wakuu wa cdm kuondoka mc4 isife iendelee kuwa hai hadi 2015 ccm itakapozikwa rasmi!!
Well said mkuu.Nadhani viongozi watachukulia kwa uzito ombi lako