Kada Mashuhuri wa CCM Newala ajiunga CHADEMA

Nape yuko busy kuwapachika majina walioona ukombozi.. Juzi aliwaita oil chafu.. Leo anawaita vinyago na kwamba ati kinyago ukichonge mwenyewe vpi kikuogopeshe.. Atayameza maneno yake huyu..

Achana na vuvuzela mkuu
 
Mwenyezi Mungu ni mwema siku zote! Karibu kamanda Lawi, karibu, karibu sana tuikomboe Tanganyika yetu kwa pamoja! Feel at home, PEOPLE'S POWER, M4C.
 
Ovyo kabisa, yaani mnafurahi kupata mtu ambaye ameshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tz? Nyie wana chadema mna matatizo gani. Nahisi hata kama ikitokea siku mkaambiwa Jk amejiunga na chama chenu mtamkaribisha ili hali sasa mnamponda.
The unseen is illustrated by the seen.

Hahaaaa, mkuu halafu nasikia ni mkatoliki huyo.
Pole mkuu hakuna marefu yasito na ncha.
 
Kada machachari wa CCM jimbo la Newala Mtwara Adam Lawi Sijaona amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM.Kada huyo aliyekuwa msaada mkubwa kwa CCM jimboni humo na kipenzi cha wana-Newala amesema CCM sasa imepoteza mwelekeo na kuwataka wakazi wote wa jimbo hilo kumfuata ndani ya CDM.
Kada huyo ni mtoto wa mpigania uhuru wa Tanzania na muasisi wa TANU na CCM.Akihutubia umati mkubwa wa watu kada huyo aliishukuru CDM kwa kupeleka M4C kusini na kusema tangu uchaguzi mwaka juzi si mbunge wala diwani aliyeita wananchi walau hata kushukuru kwa kura walizopata.Kada huyo alikabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa huku umati wa watu ukilipuka kwa shangwe.

Source:Tanzania Daima



Nilishasikia habari zake huyu jamaa kutoka kwa mdau aliyepo kule. Mwaka 2010 alitaka kuleta kimbunga wazee wa ccm walimfata wakapiga magoti kumsihi afikirie tena asiende upinzani maana mkuchika ingebidi apewe viti maalumu ili awe mbunge.
Ki ufupi ukoo wake una athari sana na siasa za newala.
 
Nilishasikia habari zake huyu jamaa kutoka kwa mdau aliyepo kule. Mwaka 2010 alitaka kuleta kimbunga wazee wa ccm walimfata wakapiga magoti kumsihi afikirie tena asiende upinzani maana mkuchika ingebidi apewe viti maalumu ili awe mbunge.
Ki ufupi ukoo wake una athari sana na siasa za newala.

Mkuchika sasa hana jinsi inabidi afunge virago
 
Mwenyezi Mungu ni mwema siku zote! Karibu kamanda Lawi, karibu, karibu sana tuikomboe Tanganyika yetu kwa pamoja! Feel at home, PEOPLE'S POWER, M4C.

Ameshaingia mpaka chumbani mkuu.
 
Jimbo la kwanza la CHADEMA kutangazwa Mbunge wetu mwaka 2015 ni Newala.Mkuchika hana cha kwake tena huku.Ujeshi Kombat sio makelele.
 
Jimbo la kwanza la CHADEMA kutangazwa Mbunge wetu mwaka 2015 ni Newala.Mkuchika hana cha kwake tena huku.Ujeshi Kombat sio makelele.

Nasikia Mkuchika alichanganyikiwa mpaka akaenda kutoa sanda msikitini
 
Hiyo inatokana na namna anavyokubalika kwa umma. Newala na Masasi tuna uhakika wa ushindi 2015.

Ni kweli mkuu hayo majimbo CDM itashinda kwa kishindo kikubwa kwani matawi yamezinduliwa kila kona ya mitaa yao
 
Back
Top Bottom