Mkamap,
Sasa ikiwa theory yako ya mwanzo imekwenda kama ulivyosema lakini hiyo profit inachukuliwa na mwekezaji (Barrick) ambaye ndiye mwenye mali, hivyo hivyo ktk Utalii unakuta faida inachukuliwa na makampuni ya nje - Je, utapoulizwa hali ya uchumi utasema uchumi haukukua kwa sababu faida hatukuipata sisi!..na utakapo wakilisha takwimu zako ktk taasisi za kimataifa utatumia vigezo gani kuonyesha uchumi haukukua...
Pili, hukunipa neno moja lenye maana ya mauzo kuongezeka ktk uchumi wakati wa hasara... kisha Inakuwaje ikiwa Mauzo yameongezeka na faida itakapitikana badala ya hasara hapo tunatumia neno ama lugha gani. tafadhali naomba darasa..
Sasa ikiwa theory yako ya mwanzo imekwenda kama ulivyosema lakini hiyo profit inachukuliwa na mwekezaji (Barrick) ambaye ndiye mwenye mali, hivyo hivyo ktk Utalii unakuta faida inachukuliwa na makampuni ya nje - Je, utapoulizwa hali ya uchumi utasema uchumi haukukua kwa sababu faida hatukuipata sisi!..na utakapo wakilisha takwimu zako ktk taasisi za kimataifa utatumia vigezo gani kuonyesha uchumi haukukua...
Pili, hukunipa neno moja lenye maana ya mauzo kuongezeka ktk uchumi wakati wa hasara... kisha Inakuwaje ikiwa Mauzo yameongezeka na faida itakapitikana badala ya hasara hapo tunatumia neno ama lugha gani. tafadhali naomba darasa..