Mkamap,
hapana ndugu yangu Zitto hakusema hivyo wala hakuangalia kukua kwa uchumi kwa mtazamo huo isipokuwa ni hivi.
Kuna ongezeko la mauzo ya madini yetu nje iwe kwa ounce ama fedha na ndicho kinachotazamwa kwanza na wala tusingepiga kelele zetu ikiwa hakuna ongezeko hilo la mauzo, lakini ni kiasi gani cha fedha sisi Tanzania tunakatiwa baada ya mauzo hayo ndipo hapo ngoma. Na kama unakumbuka rais mwenyewe alisema madini yanachangia mfuko wetu kwa aslimia 1.9 tu, hivyo kutowanufaisha wananchi. Kwa hiyo hata kama ni uchumi wa nchi yetu kukua jambo maana hapa kuangalia ni wapi fedha hizo zinakwenda...jibu lake ni Mafisadi!
Alichosema Zitto ndio ule mfano wa nyanya hapo juu wakati Wangwe anazungumzia banda zima la gengeni ambapo kuna maharage, vitunguu, ndizi, juice na bila kusahau chips vumbi.
Zitto hakuzungumzia maswala ya uchumi wetu kwa ujumla wala pato la taifa na hakuna hata mtu mmoja anayepinga kuwa kuna ongezeko la Watalii nchini isipokuwa fedha nyingi zinalipwa huko huko nchi za nje na haya mashirika ya kigeni.. hapa wanaingia watu tu na ushuru unaolipwa ndani kuchangia mfuko wetu ni mdogo sana.
Kwa hiyo jamani tutofautishe kinachosemwa hapa na sababu kubwa ya hotuba ya Zitto ni kueleza kuwa tunashindwa kupata mafao ya miradi hii inayoendelea kuzalisha vizuri kutokana na mikataba feki na yeye yupo tayari kuhakikisha kuwa janga hili linapata ufumbuzi..
hapana ndugu yangu Zitto hakusema hivyo wala hakuangalia kukua kwa uchumi kwa mtazamo huo isipokuwa ni hivi.
Kuna ongezeko la mauzo ya madini yetu nje iwe kwa ounce ama fedha na ndicho kinachotazamwa kwanza na wala tusingepiga kelele zetu ikiwa hakuna ongezeko hilo la mauzo, lakini ni kiasi gani cha fedha sisi Tanzania tunakatiwa baada ya mauzo hayo ndipo hapo ngoma. Na kama unakumbuka rais mwenyewe alisema madini yanachangia mfuko wetu kwa aslimia 1.9 tu, hivyo kutowanufaisha wananchi. Kwa hiyo hata kama ni uchumi wa nchi yetu kukua jambo maana hapa kuangalia ni wapi fedha hizo zinakwenda...jibu lake ni Mafisadi!
Alichosema Zitto ndio ule mfano wa nyanya hapo juu wakati Wangwe anazungumzia banda zima la gengeni ambapo kuna maharage, vitunguu, ndizi, juice na bila kusahau chips vumbi.
Zitto hakuzungumzia maswala ya uchumi wetu kwa ujumla wala pato la taifa na hakuna hata mtu mmoja anayepinga kuwa kuna ongezeko la Watalii nchini isipokuwa fedha nyingi zinalipwa huko huko nchi za nje na haya mashirika ya kigeni.. hapa wanaingia watu tu na ushuru unaolipwa ndani kuchangia mfuko wetu ni mdogo sana.
Kwa hiyo jamani tutofautishe kinachosemwa hapa na sababu kubwa ya hotuba ya Zitto ni kueleza kuwa tunashindwa kupata mafao ya miradi hii inayoendelea kuzalisha vizuri kutokana na mikataba feki na yeye yupo tayari kuhakikisha kuwa janga hili linapata ufumbuzi..