zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
jamani jamani! tanzania ni nchi maskini, tunakabiliwa na changamoto nyingi mno, kuna wengine saahizi wanakufa kwa njaa, naombeni sana tutubu madhambi yetu tuunganishe nguvu yetu tujenge taifa letu, tusimpe adui nafasi yakuzidi kututawala, naombeni sana huu mjadala ufe, unazidi kunikatisha tamaa mimi na nchi yangu.