Mkuu sijui mafisadi na waumiza wananchi wanajisikiaje maana ukiona coments za watu hapa wanamkubali sana huyu masikini na inaonekana kaacha legacy ya kutosha.... sasa je hawa magamba wezi wa mali za watu wanafikili wataishi milele? Je wakifa na mtu akakumbushia kifo chao after 5 yrs kweli watapata haya macompliment, say sita, chenge, muhongo, maswi, werema, Asumpta Mshana, Nchambi wa kishapu etc? ....duniani tunapita watendeeni watz haki ndugu zangu....Aliwahi kuwaambia wabunge kuwa watu safi Bungeni ni yeye tu na Shein ,wengine wote walitoa rushwa! hakuna aliyembishia hadi leo