MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 182
Nilikuwa napenda kumsikiliza akitoa michango yake Bungeni. Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi.
....Kwa Imani yako Hukustahili kutoa hayo maneno....Watakiwa kusema so simple sisi ni wa M/Mungu na kwake Tutarejea.Viongozi hawafi wakiwa madarakani sijasikia raisi kufa kwa ugonjwa wala waziri hapa duniani zaidi sie walala hoi ndio tunaopukutika ,hawa wakifa basi ujue kuna mkono wa mtu.
Poleni wafiwa.
Aliwahi kuwaambia wabunge kuwa watu safi Bungeni ni yeye tu na Shein ,wengine wote walitoa rushwa! hakuna aliyembishia hadi leoAisee miaka 5 imepita haraka sana.... kabuye kashemeze nilipenda uchangiani wake na ujenzi wa hoja anapo ongea. ... RIP brother mapambano uliyo yaanza bado yanaendelea sema mrema kageuka popo....