Kabla ya ndoa ujifunze lipi


....'tatizo'
la hivi vitabu vya dini vimeandikwa katika ule mfumo wa Present Continuous Tense...inabidi tuendelee nao tu mpaka siku ya hukumu.
Hahahaha!! Sina jinsi imenibidi kucheka tu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....'tatizo' la hivi vitabu vya dini vimeandikwa katika ule mfumo wa Present Continuous Tense...inabidi tuendelee nao tu mpaka siku ya hukumu.
Ni hatari kweli kweli...utumwa wenye kibali nauita.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ni hatari kweli kweli...utumwa wenye kibali nauita.
Halafu na kubadili kilichoandikwa kwenye Biblia ni ngumu nilipofika kwenye huu mstari nilijiuliza maswali mengi (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie"
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

...khaaa? sasa nawe wacheka nini banaaa? ...ukienda kinyume na mafundisho adhabu yake ni Moto!




LOl, Lizzy kama nakuona vile unamsujudia mumeo na kauli za "hewala baba, nakutii mume wangu!"
LOL, Mbu ngoja nimwambie Lizzy asiende kinyume na maandiko ya Biblia amsujudie mumewe.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Halafu na kubadili kilichoandikwa kwenye Biblia ni ngumu nilipofika kwenye huu mstari nilijiuliza maswali mengi (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie"

...LOL, i beg to differ!...

maandiko hayawezi kubeba material zenye sexual contents.
Uzuri "unaotamaniwa" sio wa sura hapa,.. ni UZURI kwa maana ya ......., mnh!.. enhe...!
aahh, acha niyaache haya,...umri hauniruhusu kuyasema hadharani.

...'Kusujudia' vile vile chukulia kama
animal_goat_saanens_icon.png
"
mbuzi kainama!"
 
...LOL, i beg to differ!...

maandiko hayawezi kubeba material zenye sexual contents.
Uzuri "unaotamaniwa" sio wa sura hapa,.. ni UZURI kwa maana ya ......., mnh!.. enhe...!
aahh, acha niyaache haya,...umri hauniruhusu kuyasema hadharani.

...'Kusujudia' vile vile chukulia kama
animal_goat_saanens_icon.png
"
mbuzi kainama!"
Lol!!!!! Mbu haufai kabisa wewe kila nikitaka kujibu hii post yako naona kama vile nakoelekea dah!!! Sema kuna nikijiachia hapa itakuwa balaa ngoja ni-reserve comment lol!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mwanzo.2:24 inasema, "Kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" Ukiangalia (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie".

Watu wengi wanataka waingie kwenye ndoa waoe au waolewe lakini uhusiano wao na wazazi wao usibadilike, haiwezekani. Biblia imeweka wazi unataka kuoa, mwanaume lazima aachane kwanza na baba yake na mama yake, maana yake kuna mabadiliko. Kuna mabadiliko mahali pa kuishi, kuna mabadiliko juu ya mtazamo wako wa kwanza wa maisha yako. Mke wako hawezi kuwa mama yako na mume wako hawezi kuwa baba yako.

Na kabla haujafikia maamuzi ya namna hiyo, ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi kwamba maamuzi yote unayoyafanya lazima ushirikiane nao, hiyo hatua nzuri lakini ukiishaingia kwenye ndoa mtu wa kwanza kushirikiana nae ni mume wako kama umeolewa na mke wako
kama umeoa, na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, watataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako haiwezekani.

Unapoamua kuolewa wa kwanza sio baba yako au mama yako, wa kwanza ni mume wako, ikiwa haujafikia uamuzi wa namna hii moyoni mwako basi basi bado haujafikia utayari wa kuolewa. Na ina madhara yake magumu, biblia inasema kabla haujawasahau watu wako na watu wa nyumba ya baba yako, mume wako hawezi kuutamani uzuri wako, ukitaka autamani uzuri wako lazima uwasahau kwanza watu wa nyumbani kwa wazazi wako.

Nawatakia kila la heri wale wanaotarajia kuolewa na kuoa wikiendi hii Mungu awabariki katika ndoa zenu.

TF.

JF is always a class no to miss.
TF umepotea kidogo kaka.
 
Lol!!!!! Mbu haufai kabisa wewe kila nikitaka kujibu hii post yako naona kama vile nakoelekea dah!!! Sema kuna nikijiachia hapa itakuwa balaa ngoja ni-reserve comment lol!!!

...ndio maana mwanzo niliandika nisijekufuru!...Ona sasa?
Maandiko hutoa mifano ya wanyama, i.e punda, kondoo,...nk...
Ahh, ngoja nibakie msomaji kwanza, ...lol!


 
JF is always a class no to miss.
TF umepotea kidogo kaka.
Nipo Mkuu muhimu kupata na kusoma elimu ya dini na pia kusoma vitabu vya dini kupata knowledge, soon nitakuwa Mchungaji lakini sio kama Mtikila au Kakobe lol!!!
 


Na kabla haujafikia maamuzi ya namna hiyo, ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi kwamba maamuzi yote unayoyafanya lazima ushirikiane nao, hiyo hatua nzuri lakini ukiishaingia kwenye ndoa mtu wa kwanza kushirikiana nae ni mume wako kama umeolewa na mke wako
kama umeoa, na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, watataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako haiwezekani.


Nawatakia kila la heri wale wanaotarajia kuolewa na kuoa wikiendi hii Mungu awabariki katika ndoa zenu.

TF.


Impressive saana PA naona ile kazi kweli unafanya kwa utafiti na facts...
tatizo ni kua maisha sasa hivi yamebadilika saaana na kua sasa hivi dini imekua
kama obligation fulani, vile ulivyofunzwa madrasa/Sunday School unashikilia hayo
mradi tu ujue sura chache za kusalia au kusoma rozari na salamu Maria....

Dini yoyote ile... imeweka mwelekezo mzuri saana wa jinsi ndoa inavyotakiwa iendeshwe
but kila mwanadamu anafanya vile ajisikiavyo na niwachache saana wameshikilia dini na
misingi yake... Mfano kwetu waislamu wanavyo tohoa ya kuoa mke zaidi ya mmoja au
vile baadhi ya madhehebu ya kikristo wanavyo halalisha wanaume waoane...
Sijui tunaenda wapi.... kweli sijui... naona huko mbele incest itapitishwa mwishowe....
Sorry kama ilikua offtopic kidogo...
 
...khaaa? sasa nawe wacheka nini banaaa? ...ukienda kinyume na maandiko adhabu yake ni Moto!LOl, Lizzy kama nakuona vile unamsujudia mumeo na kauli za "hewala baba, nakutii mume wangu!"
Hhahahahaha....Mbu sasa we unanitafuta uchokozi.Kama ambavyo nyie hua mnasema mapenzi ya kukumbatiana na kubusiana muda wote tunayotaka wanawake ni ya kitamthilia na sio hali hali halisi (eti tunaharibiwa na utandawazi) huyo bwana ‘mapenzi sijui heshima unayotakaka ni ya kibiblia na sio hali halisi....usikubali kuharibiwa na “ya kale“ ..‘maisha hayako kama walivyotaka wao.
 
Halafu na kubadili kilichoandikwa kwenye Biblia ni ngumu nilipofika kwenye huu mstari nilijiuliza maswali mengi (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie"
Ila inaweza kutafsiriwa vyovyote...alafu siku zote ukitaka kuelewa vizuri na usipotoshwe na mstari mmoja inabidi usome passage yote.Huyo anaesubiria kusujudiwa na mie itabidi asubiri kwa muda mrefu kama tuliomsubiria YESU.
 
Impressive saana PA naona ile kazi kweli unafanya kwa utafiti na facts...
tatizo ni kua maisha sasa hivi yamebadilika saaana na kua sasa hivi dini imekua
kama obligation fulani, vile ulivyofunzwa madrasa/Sunday School unashikilia hayo
mradi tu ujue sura chache za kusalia au kusoma rozari na salamu Maria....

Dini yoyote ile... imeweka mwelekezo mzuri saana wa jinsi ndoa inavyotakiwa iendeshwe
but kila mwanadamu anafanya vile ajisikiavyo na niwachache saana wameshikilia dini na
misingi yake... Mfano kwetu waislamu wanavyo tohoa ya kuoa mke zaidi ya mmoja au
vile baadhi ya madhehebu ya kikristo wanavyo halalisha wanaume waoane...
Sijui tunaenda wapi.... kweli sijui... naona huko mbele incest itapitishwa mwishowe....
Sorry kama ilikua offtopic kidogo...
PA nashukuru kwa mchango wako ulio very broad unayoyasema hayo ni machache kati ya mengi tunayoyaona nilishangaa nilipooana New York state wametoa kibali cha kuhalalisha ndoa za jinsia moja.
 
Ila inaweza kutafsiriwa vyovyote...alafu siku zote ukitaka kuelewa vizuri na usipotoshwe na mstari mmoja inabidi usome passage yote.Huyo anaesubiria kusujudiwa na mie itabidi asubiri kwa muda mrefu kama tuliomsubiria YESU.
Naendelea kukusubiria mama lol!!!!
 
PA nashukuru kwa mchango wako ulio very broad unayoyasema hayo ni machache kati ya mengi tunayoyaona nilishangaa nilipooana New York state wametoa kibali cha kuhalalisha ndoa za jinsia moja.


aaiseee!! Hiyo nilikua sijaipata.... Dah! I am lost at words.... genuinely...
 
Back
Top Bottom