The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #21
Kuna watu ambao hawaamini lakini hao hao utawasikia wanasema "Eheee Mungu naomba unisaidie"Hii ni nzuri,vipi kuhusu wasioamini Biblia?
Kuna watu ambao hawaamini lakini hao hao utawasikia wanasema "Eheee Mungu naomba unisaidie"Hii ni nzuri,vipi kuhusu wasioamini Biblia?
Kwasababu aliyeandika hivyo vifungu alikua mwanaume na kwa wakati huo aliona anastahili kabisa kusujudiwa.It gave him power...
Hahahaha!! Sina jinsi imenibidi kucheka tu.
....'tatizo' la hivi vitabu vya dini vimeandikwa katika ule mfumo wa Present Continuous Tense...inabidi tuendelee nao tu mpaka siku ya hukumu.
Ni hatari kweli kweli...utumwa wenye kibali nauita.....'tatizo' la hivi vitabu vya dini vimeandikwa katika ule mfumo wa Present Continuous Tense...inabidi tuendelee nao tu mpaka siku ya hukumu.
Hahahaha!! Sina jinsi imenibidi kucheka tu.
Ni hatari kweli kweli...utumwa wenye kibali nauita.
Halafu na kubadili kilichoandikwa kwenye Biblia ni ngumu nilipofika kwenye huu mstari nilijiuliza maswali mengi (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie"Ni hatari kweli kweli...utumwa wenye kibali nauita.
LOL, Mbu ngoja nimwambie Lizzy asiende kinyume na maandiko ya Biblia amsujudie mumewe.
...khaaa? sasa nawe wacheka nini banaaa? ...ukienda kinyume na mafundisho adhabu yake ni Moto!
LOl, Lizzy kama nakuona vile unamsujudia mumeo na kauli za "hewala baba, nakutii mume wangu!"
Halafu na kubadili kilichoandikwa kwenye Biblia ni ngumu nilipofika kwenye huu mstari nilijiuliza maswali mengi (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie"
Lol!!!!! Mbu haufai kabisa wewe kila nikitaka kujibu hii post yako naona kama vile nakoelekea dah!!! Sema kuna nikijiachia hapa itakuwa balaa ngoja ni-reserve comment lol!!!...LOL, i beg to differ!...
maandiko hayawezi kubeba material zenye sexual contents.
Uzuri "unaotamaniwa" sio wa sura hapa,.. ni UZURI kwa maana ya ......., mnh!.. enhe...!
aahh, acha niyaache haya,...umri hauniruhusu kuyasema hadharani.
...'Kusujudia' vile vile chukulia kama"mbuzi kainama!"
Mwanzo.2:24 inasema, "Kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" Ukiangalia (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie".
Watu wengi wanataka waingie kwenye ndoa waoe au waolewe lakini uhusiano wao na wazazi wao usibadilike, haiwezekani. Biblia imeweka wazi unataka kuoa, mwanaume lazima aachane kwanza na baba yake na mama yake, maana yake kuna mabadiliko. Kuna mabadiliko mahali pa kuishi, kuna mabadiliko juu ya mtazamo wako wa kwanza wa maisha yako. Mke wako hawezi kuwa mama yako na mume wako hawezi kuwa baba yako.
Na kabla haujafikia maamuzi ya namna hiyo, ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi kwamba maamuzi yote unayoyafanya lazima ushirikiane nao, hiyo hatua nzuri lakini ukiishaingia kwenye ndoa mtu wa kwanza kushirikiana nae ni mume wako kama umeolewa na mke wako kama umeoa, na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, watataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako haiwezekani.
Unapoamua kuolewa wa kwanza sio baba yako au mama yako, wa kwanza ni mume wako, ikiwa haujafikia uamuzi wa namna hii moyoni mwako basi basi bado haujafikia utayari wa kuolewa. Na ina madhara yake magumu, biblia inasema kabla haujawasahau watu wako na watu wa nyumba ya baba yako, mume wako hawezi kuutamani uzuri wako, ukitaka autamani uzuri wako lazima uwasahau kwanza watu wa nyumbani kwa wazazi wako.
Nawatakia kila la heri wale wanaotarajia kuolewa na kuoa wikiendi hii Mungu awabariki katika ndoa zenu.
TF.
Lol!!!!! Mbu haufai kabisa wewe kila nikitaka kujibu hii post yako naona kama vile nakoelekea dah!!! Sema kuna nikijiachia hapa itakuwa balaa ngoja ni-reserve comment lol!!!
Nipo Mkuu muhimu kupata na kusoma elimu ya dini na pia kusoma vitabu vya dini kupata knowledge, soon nitakuwa Mchungaji lakini sio kama Mtikila au Kakobe lol!!!JF is always a class no to miss.
TF umepotea kidogo kaka.
Lol!!!!...ndio maana mwanzo niliandika nisijekufuru!...Ona sasa?
Maandiko hutoa mifano ya wanyama, i.e punda, kondoo,...nk...
Ahh, ngoja nibakie msomaji kwanza, ...lol!
Na kabla haujafikia maamuzi ya namna hiyo, ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi kwamba maamuzi yote unayoyafanya lazima ushirikiane nao, hiyo hatua nzuri lakini ukiishaingia kwenye ndoa mtu wa kwanza kushirikiana nae ni mume wako kama umeolewa na mke wako kama umeoa, na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, watataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako haiwezekani.
Nawatakia kila la heri wale wanaotarajia kuolewa na kuoa wikiendi hii Mungu awabariki katika ndoa zenu.
TF.
Hhahahahaha....Mbu sasa we unanitafuta uchokozi.Kama ambavyo nyie hua mnasema mapenzi ya kukumbatiana na kubusiana muda wote tunayotaka wanawake ni ya kitamthilia na sio hali hali halisi (eti tunaharibiwa na utandawazi) huyo bwana mapenzi sijui heshima unayotakaka ni ya kibiblia na sio hali halisi....usikubali kuharibiwa na ya kale ..maisha hayako kama walivyotaka wao....khaaa? sasa nawe wacheka nini banaaa? ...ukienda kinyume na maandiko adhabu yake ni Moto!LOl, Lizzy kama nakuona vile unamsujudia mumeo na kauli za "hewala baba, nakutii mume wangu!"
Ila inaweza kutafsiriwa vyovyote...alafu siku zote ukitaka kuelewa vizuri na usipotoshwe na mstari mmoja inabidi usome passage yote.Huyo anaesubiria kusujudiwa na mie itabidi asubiri kwa muda mrefu kama tuliomsubiria YESU.Halafu na kubadili kilichoandikwa kwenye Biblia ni ngumu nilipofika kwenye huu mstari nilijiuliza maswali mengi (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie"
PA nashukuru kwa mchango wako ulio very broad unayoyasema hayo ni machache kati ya mengi tunayoyaona nilishangaa nilipooana New York state wametoa kibali cha kuhalalisha ndoa za jinsia moja.Impressive saana PA naona ile kazi kweli unafanya kwa utafiti na facts...
tatizo ni kua maisha sasa hivi yamebadilika saaana na kua sasa hivi dini imekua
kama obligation fulani, vile ulivyofunzwa madrasa/Sunday School unashikilia hayo
mradi tu ujue sura chache za kusalia au kusoma rozari na salamu Maria....
Dini yoyote ile... imeweka mwelekezo mzuri saana wa jinsi ndoa inavyotakiwa iendeshwe
but kila mwanadamu anafanya vile ajisikiavyo na niwachache saana wameshikilia dini na
misingi yake... Mfano kwetu waislamu wanavyo tohoa ya kuoa mke zaidi ya mmoja au
vile baadhi ya madhehebu ya kikristo wanavyo halalisha wanaume waoane...
Sijui tunaenda wapi.... kweli sijui... naona huko mbele incest itapitishwa mwishowe....
Sorry kama ilikua offtopic kidogo...
Naendelea kukusubiria mama lol!!!!Ila inaweza kutafsiriwa vyovyote...alafu siku zote ukitaka kuelewa vizuri na usipotoshwe na mstari mmoja inabidi usome passage yote.Huyo anaesubiria kusujudiwa na mie itabidi asubiri kwa muda mrefu kama tuliomsubiria YESU.
PA nashukuru kwa mchango wako ulio very broad unayoyasema hayo ni machache kati ya mengi tunayoyaona nilishangaa nilipooana New York state wametoa kibali cha kuhalalisha ndoa za jinsia moja.