jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 990
kaka hongera sana, mi nakuombea kwa Mungu Inshaallah akujaalie rehma hiyo maana ni wachache sana walio na mtizamo kama wako. HONGERA SANA NDUGU, KILA LA KHERI.Ha ha ha! Mkuu, wewe mwenyewe ulikuwa unalabua nje ya ndoa yako . . . kwanini na yeye asilabuliwe pia? "Anayetaka kula sharti aliwe"
Mimi binafsi bado sijaoa lakini nikifanya hivyo siwezi kutafuta nyumba ndogo/cheat cos:
1. Nitaumia sana pale nitakapogundua analabuliwa huko nje (ambayo ni 100% ina uwezekano w kutokea)
2. Nitaumia pia ntakapojua na wife naye analabuliwa/nyumba ndogo nje so "why do something to someone ambacho ww hutaki kufanyiwa"
3. Sitakuwa na muda wa ku-entertain nyumba zote mbili, ukijumlisha na watoto juu
My take: Katika maisha yangu hata niwe na girlfriend siwezi kum-cheat, sembuse mke kabisa? Kwenye ndoa ukishaona yanakushinda ni bora "uachie ngazi" kuliko kuanza kutafuta nyumba ndogo cos sio solution (Naaminii hivyo na dnio msimamo wangu)