Tokea Nassari alipo-misspoke last week jukwaani kumekuwa na harakati za makusudi za ku-seize the moment na kujenga mlima kutokana na kichuguu. Japo sikuwa nimeafiki jinsi kauli ile ilivyokuwa framed lakini nilimuelewa Mbowe alipotoa ufafanuzi na ku-refute kauli ile on spot. Kwa watu makini kitendo cha Mbowe kiliifanya kauli ile kukosa nguvu umuhimu tena katika siasa za Tanzania. Kwani tukianza kuchambua kauli za wanasiasa majukwaani tutafikia hitimisho kuwa kauli ya Nassari ilikuwa ni sawa na sisimizi kwenye kundi la wanyama wengi tu Tembo na Nyangumi wakiwemo.
Kumekuzuka mchezo katika vyombo vya habari na hasa hata hapa JF kuanzisha thread kila baada ya saa moja inayozungumzia kauli ile. Ukweli mimi binafsi nimekerwa sana na effort hii ya kujenga mlima kutoka kwenye kichuguu. Tanzania ina matatizo mengi sana, vijana wengi hawana ajira, mahospitali hayana dawa na madaktari hawana vitendea kazi, mfumuko wa bei unazidi kupaa, watanzania kila kukicha inakuwa ni afadhali ya jana, wizi wa mali ya umma bila wahusika kuchukuliwa hatua stahiki. Haya ndiyo mambo ya kuyazungumzia kwa sasa kwani yana madhara ya moja kwa moja katika maisha ya kila siku ya watanzania. Kuzungumzia kauli ya Mbunge mmoja ambaye hajatimiza hata mwezi mmoja tokea ale kiapo ni kupoteza muda wa kushughulikia mambo muhimu yanayowagusa watanzania na nchi moja kwa moja.
Isitoshe nguvu hizi zinatufanya hata watu ambao tulikuwa wa kwanza kukosoa kauli ya Nassari kwa lengo la kujenga kujikuta sasa tukianza kupata sababu na njia mbadala ya kuanza kujenga hoja za kumtetea Nassari, binafsi hili huenda lisiwe jambo zuri kwa Nassari kwani nina hakika kuwa amejifunza kitu kikubwa sana katika siasa za majukwaani kutokana na instant reaction ya Mbowe.
Lakini kibaya zaidi nguvu hizi za kum-demonise Nassari zinaondoa dhana nzima ya speech aliyoitoa JK wakati akiapisha tume ya katiba kuwa tusizomeane eti kwa kuwa tu tunatofautiana kuhusu jinsi katiba mpya itakavyokuwa. Mawazo yote yasikilizwe hata ya mtu anayetaka bei ya korosho ipande wakati si mahala pake. Nilitarajia CCM na Nape wangeonesha kwa mfano kumuunga mkono rais anayetoka kwenye chama chao kwa kuacha nguvu hizi za kukandamiza mawazo ya mtu asiyekuwa na dola. Kauli ya Nassari tuipinge kwa kujenga si kuipinga kwa kubomoa na kupotosha na kumfanya Nassari ajisikie dhalili, hayo si malengo ya kukuza demokrasia. Sasa umefika wakati tuangalie kauli na matendo ya mtu.
Kwa wale wenye uelewa kidogo wa uchumi na hasa microeconomics watakubaliana na mimi kuwa ladha ya kitu huwa bora pale unapokitumia kitu hicho kwa mara ya kwanza, na kila unapoongeza kipimo ndipo ladha hiyo hupungua zaidi na zaidi na zaidi. Tunapoongelea suala la Nassari zaidi na zaidi halitusaidii bali linafanya tuanze kuwachukia na kuwapuuza wale wanaoliendekeza. Tuangalie tusijikute tunajidharaulisha sisi wenyewe.
MU = change in TU/change in Q (where TU is total utility and Q is the quantity of the good)
Marginal utility is the additional satisfaction, or amount of utility, gained from each extra unit of consumption. Although total utility usually increases as more of a good is consumed, marginal utility usually decreases with each additional increase in the consumption of a good. This decrease demonstrates the law of diminishing marginal utility. Because there is a certain threshold of satisfaction, the consumer will no longer receive the same pleasure from consumption once that threshold is crossed.
Take, for example, a chocolate bar. Let's say that after eating one chocolate bar your sweet tooth has been satisfied. Your marginal utility after eating one chocolate bar will be quite high. But if you eat more chocolate bars, the pleasure of each additional chocolate bar will be less than the pleasure you received from eating the one before - probably because you are starting to feel full. The same applies to the Issue of Nassari's statement on the political podium, when people critised him in the first place every body agreed, but when we critise him more and more, people no longer receive the same negative perceiption about Nassari beacuse they feel loaded with unnecessary information.
Be careful critiques!
Kumekuzuka mchezo katika vyombo vya habari na hasa hata hapa JF kuanzisha thread kila baada ya saa moja inayozungumzia kauli ile. Ukweli mimi binafsi nimekerwa sana na effort hii ya kujenga mlima kutoka kwenye kichuguu. Tanzania ina matatizo mengi sana, vijana wengi hawana ajira, mahospitali hayana dawa na madaktari hawana vitendea kazi, mfumuko wa bei unazidi kupaa, watanzania kila kukicha inakuwa ni afadhali ya jana, wizi wa mali ya umma bila wahusika kuchukuliwa hatua stahiki. Haya ndiyo mambo ya kuyazungumzia kwa sasa kwani yana madhara ya moja kwa moja katika maisha ya kila siku ya watanzania. Kuzungumzia kauli ya Mbunge mmoja ambaye hajatimiza hata mwezi mmoja tokea ale kiapo ni kupoteza muda wa kushughulikia mambo muhimu yanayowagusa watanzania na nchi moja kwa moja.
Isitoshe nguvu hizi zinatufanya hata watu ambao tulikuwa wa kwanza kukosoa kauli ya Nassari kwa lengo la kujenga kujikuta sasa tukianza kupata sababu na njia mbadala ya kuanza kujenga hoja za kumtetea Nassari, binafsi hili huenda lisiwe jambo zuri kwa Nassari kwani nina hakika kuwa amejifunza kitu kikubwa sana katika siasa za majukwaani kutokana na instant reaction ya Mbowe.
Lakini kibaya zaidi nguvu hizi za kum-demonise Nassari zinaondoa dhana nzima ya speech aliyoitoa JK wakati akiapisha tume ya katiba kuwa tusizomeane eti kwa kuwa tu tunatofautiana kuhusu jinsi katiba mpya itakavyokuwa. Mawazo yote yasikilizwe hata ya mtu anayetaka bei ya korosho ipande wakati si mahala pake. Nilitarajia CCM na Nape wangeonesha kwa mfano kumuunga mkono rais anayetoka kwenye chama chao kwa kuacha nguvu hizi za kukandamiza mawazo ya mtu asiyekuwa na dola. Kauli ya Nassari tuipinge kwa kujenga si kuipinga kwa kubomoa na kupotosha na kumfanya Nassari ajisikie dhalili, hayo si malengo ya kukuza demokrasia. Sasa umefika wakati tuangalie kauli na matendo ya mtu.
Kwa wale wenye uelewa kidogo wa uchumi na hasa microeconomics watakubaliana na mimi kuwa ladha ya kitu huwa bora pale unapokitumia kitu hicho kwa mara ya kwanza, na kila unapoongeza kipimo ndipo ladha hiyo hupungua zaidi na zaidi na zaidi. Tunapoongelea suala la Nassari zaidi na zaidi halitusaidii bali linafanya tuanze kuwachukia na kuwapuuza wale wanaoliendekeza. Tuangalie tusijikute tunajidharaulisha sisi wenyewe.
MU = change in TU/change in Q (where TU is total utility and Q is the quantity of the good)
Marginal utility is the additional satisfaction, or amount of utility, gained from each extra unit of consumption. Although total utility usually increases as more of a good is consumed, marginal utility usually decreases with each additional increase in the consumption of a good. This decrease demonstrates the law of diminishing marginal utility. Because there is a certain threshold of satisfaction, the consumer will no longer receive the same pleasure from consumption once that threshold is crossed.
Take, for example, a chocolate bar. Let's say that after eating one chocolate bar your sweet tooth has been satisfied. Your marginal utility after eating one chocolate bar will be quite high. But if you eat more chocolate bars, the pleasure of each additional chocolate bar will be less than the pleasure you received from eating the one before - probably because you are starting to feel full. The same applies to the Issue of Nassari's statement on the political podium, when people critised him in the first place every body agreed, but when we critise him more and more, people no longer receive the same negative perceiption about Nassari beacuse they feel loaded with unnecessary information.
Be careful critiques!