KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Vipi una mpango wa kujitia kiberiti kuleta ukombozi ?Yule kijana aliyejiwasha moto kule tunisia alikusanya vitu vyake vyote ,akandika waraka kisha akajitoa muhanga .ameleta mapinduzi ya kweli katika ukanda wa ghuba ,huenda baadaye ikafika hata huku kwetu hatujui?
Yule kijana aliyejiwasha moto kule tunisia alikusanya vitu vyake vyote ,akandika waraka kisha akajitoa muhanga .ameleta mapinduzi ya kweli katika ukanda wa ghuba ,huenda baadaye ikafika hata huku kwetu hatujui?
Ukijiwasha bongo ngoma inazimwa kimya kimya tu...jaribu uone...