asmaa80
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 1,562
- 1,754
HIVI UNAJUA KUSOMA VIZURI?? Au unakurupuka tena kwa kujiamini?!! mtoa mada Ameelezea kabsaa hayo mabishano yao wamebishana KAZINI, ndio akaihamishia mada hapa, Wewe unakuja na story za kwengine mchana kwengine Usiku, Sijui wengine wanasafiri hao wanahusiana nini na statement yangu????Saa za kazi tumetofautiana sana, wengine usiku, wengine mchana na wengine wanachati huku wanasafiri na mabasi je wasichati sababu ni mchana?
Jiongeze mkuu