IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Katika jamii yetu ya Kiafrika imezoeleka kwamba Mwafrika akizaa na Mzungu/Mwarabu na mtoto akawa nywele na rangi vyenye mwonekano wa Kizungu/Kiarabu basi huyo huitwa Chotara.
Swali langu ni hili, je Mrangi akimuwowa Mchaga mtoto anayezaliwa awe kabila gani? Je huyu naye siyo chotara.
Lakini utamkuta mtu mzazi wake mmoja siyo mwafrika na yeye amefanania kwenye Uafrika lakini anajiita Mwarabu/Mzungu (kuna mmoja Shinyanga watu walikuwa wanamwita "Hakiyamungu mimi Mwarabu" -Ikimaanisha kwamba lazima aape kwa mungu wake ndo mtu ajue kwamba mzazi wake mmoja ni Mwarabu), kwa nini asijiite Mwafrika?
Swali langu ni hili, je Mrangi akimuwowa Mchaga mtoto anayezaliwa awe kabila gani? Je huyu naye siyo chotara.
Lakini utamkuta mtu mzazi wake mmoja siyo mwafrika na yeye amefanania kwenye Uafrika lakini anajiita Mwarabu/Mzungu (kuna mmoja Shinyanga watu walikuwa wanamwita "Hakiyamungu mimi Mwarabu" -Ikimaanisha kwamba lazima aape kwa mungu wake ndo mtu ajue kwamba mzazi wake mmoja ni Mwarabu), kwa nini asijiite Mwafrika?