wewe hujui kabisa historia ya Wairaqw. Hawana uhusiano wowote na Iraq na hawawezi kupotea kwenye ramani ya Tz.
hivi slaa kumbe ni mwalabu wa Iraq???? CHADEMA KUMBE NDIYO INAYOTAKA KUWARUDISHA WAALABU , HII HATARI
bora wapotee tu kwanza hawana asili ya tz wana asili ya huko huko iraq
Wewe Mzeelapa, 'Waalabu' ni taifa gani?
O la la la haya ni majina ya vijiji au mitaa au nini?Pamoja na sababu hiyo, kabila la ki-Iraqw ni wengi sidhani kama litapotea. Ukianzia Karatu, Daudi, Masieda, Bargish antsi, Arri, Mbulu mjini, Anslay, Gehandu, Gedamar, Titiwi, Kwermusl, Khaday, Kainamu, Nahasey, Tsaayo-raat, Hayloto, Murray, Qwam, Kuta, Siday, Tlawi, Masqaroda, Diyomati, Bashay, Dongobesh, Tumati, Mongahay, Endoji, Bashnet, Gidhim, Maretadu, Gibdiyo, Gidmadoy, Gidarudadaw, Simhha, Haydrer, Semonyandi, Mewadani, Musru, Endagikot, Endaharghadakt, Endamasaki, Endamilay, Endanachan, Endanyawish, Erboshan, Ngwandakw, Yarotamburda, Qatabella, Qamatananat, Qambush, Datlaa, Dumanangw, Endagew, Muguruchan, Maghang, Haydom mpaka kule Murkuchida ni wao tu. Pia kule Yaeda chini na Mungowamono kwa Wahadzabe wapo wachache.
O la la la haya ni majina ya vijiji au mitaa au nini?
Nilipata story ya mzee mmoja pale Dareda,anasema ni kweli wametokea Iraq mnamo karne ya 13. Walipita Ethiopia,Somalia na hadi kuja Tanzania kupitia Kenya (utaweza kuona ndugu zao katika nchi walizopita). Walifika kwa wingi na kuweka makaazi yao katika Mlima Nou (ulimo Msitu wa taifa wa Nou). Kwa vile wao ni wakulima na wafugaji,walipigana sana na jamii za wafugaji kama wabarbaig na wamaasi ili wapate mahala pa kulima.
Ni story niliyopata kwa mzee huyo;kwa sasa naiamini mpaka nitakapofahamu vingine.
:A S-confused1:Bado Endagulda, Gwalaytigenik, Gijedamahog, Endaharaqdakt............
Isije kuwa mnaombana tunda hadharani :behindsofa:gartathaa aten gwaran amortakawan kungaa.....anagwaada daagwaye....amukuug.....
Ni kweli wadada zao ni wazuri, nikiwa JKT, nilikapenda kabinti kamoja ka huko, sio siri, kalinichanginyi!, Kalikuwa kaalimu na kakapangiwa kwao!. Nlikafungia safari, enzi hizo Babati hoteli ya maana ilikuwa moja tuu "Motel Paa Paa"!.Ila wadada zao wazuri kama wale wa Singida ila sasa kwa Mgao duu kama Dawasco!
Mkuu Andrew, samahani haiko sahihi, Wairaque wa Tanzania ni jina tuu lakini asili yao sio Ghuba, hawa ni watu wanaitwa "nilotic na semi-nilotic" hawa sio Wabantu, asili yao ni dola ya kale ya Axum na sio Uajemi!.Kabila la Wairaqi maana yake wanatoka katikati ya Tigris na Euphrates. Adma and Eve walikuwa Wairaqi.
Ingekuwa vizuri kama wataalamu wetu wangecheki DNA za hawa watu ili tuweze kujua ukweli juu ya asili ya hao Wairaqi.
Pole sana Pasco, sipati picha enzi hizo bashnet ilikuwa vipi maana hata sasa ukienda watu wanafunuka mgorori na blanketi kipindi chote cha mwaka(mgorori kwa ndani na blanketi juu) bila kusahahu Kofia staili ya kininja only macho yanaonekana. Viatu ni gum boot na hatua tano mbele huoni mtu kwa ajili ya ukungu.Ni kweli wadada zao ni wazuri, nikiwa JKT, nilikapenda kabinti kamoja ka huko, sio siri, kalinichanginyi!, Kalikuwa kaalimu na kakapangiwa kwao!. Nlikafungia safari, enzi hizo Babati hoteli ya maana ilikuwa moja tuu "Motel Paa Paa"!.
Nkatembezwa kote, mpaka kule juu mlima Katesh unakuta vibinti viziwa nje nje!, kuna watu hawawezi kuamini kuna watu Tanzania wanatembea uchi!. Kule mlimani baridi kali, mimi na jacketi langu lakini bado nasikia baridi, lakini wao na haswa vitoto vyao vinatembea bila nguo kabisa!..