hasason JF-Expert Member Sep 19, 2012 1,648 1,538 Sep 26, 2012 #1 tumwage zile zitu zetu za baadae which is which unafikiri makabila hodari ya kufuatilia habari za magazetini ni yapi? Tiririkeni!!!
tumwage zile zitu zetu za baadae which is which unafikiri makabila hodari ya kufuatilia habari za magazetini ni yapi? Tiririkeni!!!
Bavaria JF-Expert Member Jun 14, 2011 53,102 53,353 Sep 26, 2012 #3 kuna za Global Publisherz na za KinaMwananch Communications.
Madame B JF-Expert Member Apr 9, 2012 29,969 32,136 Sep 26, 2012 #4 Nilivyoona heading yako nikajua yale mambo yetu ya Malovee.
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,202 42,061 Sep 26, 2012 #5 Hahahahaha umeniacha hoi wangu! Madame B said: Nilivyoona heading yako nikajua yale mambo yetu ya Malovee. Click to expand...
Hahahahaha umeniacha hoi wangu! Madame B said: Nilivyoona heading yako nikajua yale mambo yetu ya Malovee. Click to expand...
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Sep 27, 2012 #6 Mhmmm!!! Kumbe hadi kusoma sana magazeti kunatokana na makabila? na kutumia sana computer je nako kunatokana na makabila?
Mhmmm!!! Kumbe hadi kusoma sana magazeti kunatokana na makabila? na kutumia sana computer je nako kunatokana na makabila?
L Laaziz Member Sep 26, 2012 37 7 Sep 27, 2012 #7 he! kumbe kusoma magazeti pia kuna kabila linalopenda? tuambie basi labda ulishafanya utafiti ukagundua.
he! kumbe kusoma magazeti pia kuna kabila linalopenda? tuambie basi labda ulishafanya utafiti ukagundua.
Arushaone JF-Expert Member Mar 31, 2012 15,135 13,254 Sep 27, 2012 #8 Why unaanzisha thread yenye mentality ya UKABILA???
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,938 93,820 Sep 27, 2012 #9 Makabila yote wanawake wao hupenda kusoma magazeti mchana isipokuwa wale wa Kichagga tu....yaani!!!
fabinyo JF-Expert Member Aug 5, 2011 2,991 2,108 Sep 27, 2012 #12 wahaya,tena ya kizungu ndio wanayapenda!hahaa
CharmingLady JF-Expert Member Apr 16, 2012 18,250 12,868 Sep 27, 2012 #13 fabinyo said: wahaya,tena ya kizungu ndio wanayapenda!hahaa Click to expand... afu ukute kageuza up side dowo lol!
fabinyo said: wahaya,tena ya kizungu ndio wanayapenda!hahaa Click to expand... afu ukute kageuza up side dowo lol!
fabinyo JF-Expert Member Aug 5, 2011 2,991 2,108 Sep 27, 2012 #14 charminglady said: afu ukute kageuza up side dowo lol! Click to expand... hahahaa!wengi wao wana mbwembwe sana hawa jamaa
charminglady said: afu ukute kageuza up side dowo lol! Click to expand... hahahaa!wengi wao wana mbwembwe sana hawa jamaa
hasason JF-Expert Member Sep 19, 2012 1,648 1,538 Sep 27, 2012 Thread starter #15 fabinyo said: hahahaa!wengi wao wana mbwembwe sana hawa jamaa Click to expand... kweli usilolijua ni sawa na usiku wa kiza!
fabinyo said: hahahaa!wengi wao wana mbwembwe sana hawa jamaa Click to expand... kweli usilolijua ni sawa na usiku wa kiza!
hasason JF-Expert Member Sep 19, 2012 1,648 1,538 Sep 27, 2012 Thread starter #16 Arushaone said: Why unaanzisha thread yenye mentality ya UKABILA??? Click to expand... hili ni zali la mentally!
Arushaone said: Why unaanzisha thread yenye mentality ya UKABILA??? Click to expand... hili ni zali la mentally!
hasason JF-Expert Member Sep 19, 2012 1,648 1,538 Sep 27, 2012 Thread starter #17 Bulldog said: kuna za Global Publisherz na za KinaMwananch Communications. Click to expand... all included regarding all are magazette!
Bulldog said: kuna za Global Publisherz na za KinaMwananch Communications. Click to expand... all included regarding all are magazette!
fabinyo JF-Expert Member Aug 5, 2011 2,991 2,108 Sep 27, 2012 #18 hasason said: kweli usilolijua ni sawa na usiku wa kiza! Click to expand... mmoja wao wewe!!
Asulo JF-Expert Member Jun 25, 2012 719 251 Sep 27, 2012 #19 We hasason umeshafanya utafiti na kujua au ndo umekuja kufanyia utafiti humu Jf? Hutapata jibu la kweli ng'oooooooo!!!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
We hasason umeshafanya utafiti na kujua au ndo umekuja kufanyia utafiti humu Jf? Hutapata jibu la kweli ng'oooooooo!!!!
Duzente Siqwente JF-Expert Member Aug 6, 2012 265 59 Sep 27, 2012 #20 Dah hii thread haijakaa njema makabila tena jama hahaaaaaa