Pole sana Mphamvu lol,Thats why I hate kupika, ndo haliliki tena ivo.
Nishapigia simu Edo wa kiepe aniandalie chipsi mishkaki (I guess unajua kama sili mayai).
Aaaaagh!
Tatizo Facebook viepe vyao wanakata makubwa, chips kama collection ya mihogo bwana? Yai moja halikamati, problem with Hamijei ni kuhusudu wadada, anakera mpaka upeo.
Hili jibu sio la kihandisi kabisa, no wonder kwanini majengo yanaporomoka na barabara zinaumuka.
...duh..kumbe Hamijei..mtu wa totoz sana...?.....kwa Ali baba Vipi...?@Mphamvu
teh teh teh, nitamwambia bibiangu atupikie nitakukuribisha uje ule. hazielezeki.
Hapo sawa, kinabibi wanajua sana kupika. Their meal never lets you down.
Sasa tufanye ivi, tukutane PM tupange tunaenda lini kwa bibi, na kwa staili gani.
Au unasemaje Erotica?
lichuje.....
likamue