mung wangu msije mkawa mmesha mnanii shemeji yangu nyie uwiii!jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: Hiki kitanda naomba tusogeze hapa, hili kabati lisogee nyuma kidogo, njoo upande huu tulivute kabati.... Jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. Katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. Baada ya kumaliza, yule dada akamwomba warudishe kitanda na kabati kama vilivyokuwa mwanzo.
je wewe kama mwanaume ungejizuiaje hapa?