Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Aisee Michelle ulinistua sana....nlivoona umekomenti nkajua mjukuu wangu ulibakwa live.... Ningekunywa thumu athee!
Mungu apitishe mbali.....mzima Babu? mii miss you!!!
Aisee Michelle ulinistua sana....nlivoona umekomenti nkajua mjukuu wangu ulibakwa live.... Ningekunywa thumu athee!
hi dear!
Mungu apitishe mbali.....mzima Babu? mii miss you!!!
turudishie hela zetu,hakuna alobakwa hapoopcorn:
Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.
JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?
nipo poa ile mbaya,kesho naisubiri kwa hamu asubuhi ntaenda monduli kurelease tension by saa tatu ntakuwa nimesharudi.Hi my dear,how are you?
nipo poa ile mbaya,kesho naisubiri kwa hamu asubuhi ntaenda monduli kurelease tension by saa tatu ntakuwa nimesharudi.
OooCan I come with you! If I may ask .....:rain:
Ooo
h dear,leo nimekubamba humu.No ntakwenda kwa pikipiki cc 250 ya JAPAN kwa kasi ya 110 km/h ntakudondosha bure hujazoea hii.Upepo wa pikipiki ukinipiga asubuhi huniondolea tensions na uchovu niupatao hunipa usingizi mzuri jioni.
nipo poa ile mbaya,kesho naisubiri kwa hamu asubuhi ntaenda monduli kurelease tension by saa tatu ntakuwa nimesharudi.
mimi ntakuwa naendesha kwa hiyo mbona umevaa kiajabu hapo nyuma kama mdada hivi.Utanipunguzia spidi kwa uzito nataka niwe kasi hiyo 110km/h hata kwenye kona.Nitakuwa nimevaa Helmet haina shida hata nikianguka! Nitakuwa nimekushikiria kiunoni kwa nguvu
ona kama hiii
Nitakuwa nimevaa Helmet haina shida hata nikianguka! Nitakuwa nimekushikiria kiunoni kwa nguvu
ona kama hiii
sina wa kuwasalimia huko labda wa his ethic group, huwa nafanya hizi safari once per month napenda kweli huu mchezo wa pikipikiSafari njema Marytina wangu....umsalimu eeeh!!!:wink2:
Rev. upo juu sana!!!:wink2::hand:
Nitakuwa nimevaa Helmet haina shida hata nikianguka! Nitakuwa nimekushikiria kiunoni kwa nguvu
ona kama hiii
sina wa kuwasalimia huko labda wa his ethic group, huwa nafanya hizi safari once per month napenda kweli huu mchezo wa pikipiki
Nipo juu mmmmhh fafanua juu ya nani?