Kabakwa live

Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.

JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?


Uongo huu. Mguu hauhitaji kanga kuanguka ndio unyooke 90%. Lazima ulikuwa umenyooka wakati wote hii shughuli ya kisanii ya kuhamisha vitu ilipokuwa ikiendelea. Suala tu kuwa huyo bibie alikuwa na kanga moja bila kufuli ulitosha kabisa kutuma taarifa kwa gia ndogo ya fourwheel drive ili iwe tayari kwa shughuli.
 
kaka au wewe nini? angalia yasije yakakukuta yaliyomkuta fulani
 
alipoipata hakufanya ajizi,ukute hapo alikuwa na umero wa karne,si unaona anasema walinanihii kwa fujo umero huoooo:laugh:

hapana mkuu sio umero.inawezekana jamaa hakuwahi kua na wazo lakini opportunity ikajileta.si unajua "an opportunity of a life time should be seized within the life time of the opportunity"
 
Je Mzigo ulikuwa wa kiwango gani? navyojua mimi ku-engage gear ya four wheel drive lazima mind iwe imempa sifa mora kwa uumbaji, vinginevyo jamaa angejing'atua tu na huyo demu angemchukia na kumzushia visa kibao. WAsiwasi - palikuwa "SAFE"
 
Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.

JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?

Mbona stori yako haisemi kama jamaa alitoka kununua kondom ndo akachapa?
Unataka kusema huyo mama alimwita makusudi ali amwambukize Ngoma? Ungebadili Title ungeiita UWEZEKANO WA KUAMBUKIZWA UKIMWI KIRAHISI
 
Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.

JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?
hapa sina jibu:clap2:
 
Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.

JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?
Fumba macho..
 
Mbona stori yako haisemi kama jamaa alitoka kununua kondom ndo akachapa?
Unataka kusema huyo mama alimwita makusudi ali amwambukize Ngoma? Ungebadili Title ungeiita UWEZEKANO WA KUAMBUKIZWA UKIMWI KIRAHISI

Hata mie nimemshauri abadili title
 
Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.

JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?

Tupe updates, bado wanaendelea kusogeza kabati hadi mume wa huyo mama arudi au ilikuwa ni one time tu?
 
Smart woman.....li mwanaume linajidai halitaki....kuja kusogeza kabati linakuja.....mwanamke kavaa kanga moja humwambii vaa dira unajitumikisha tu......i ilike this type of womens,wanajua take advantage ya udhaifu wa wanaume.....l.o.l:laugh::laugh::laugh:
 
alipoipata hakufanya ajizi,ukute hapo alikuwa na umero wa karne,si unaona anasema walinanihii kwa fujo umero huoooo:laugh:
...Na nina uhakika kwa huo umero aliokuwa nao huyo jamaa na huyo mwanamke hakuna aliyemkumbusha mwenzake kutumia condom....majuto mkuu..:A S 20::A S 20:
 
Smart woman.....li mwanaume linajidai halitaki....kuja kusogeza kabati linakuja.....mwanamke kavaa kanga moja humwambii vaa dira unajitumikisha tu......i ilike this type of womens,wanajua take advantage ya udhaifu wa wanaume.....l.o.l:laugh::laugh::laugh:

General view hapa janvini ni kwamba mwanamke huwa haanzi kumtongoza mwanaume, na kwamba mwanamke hawezi kumbaka mwanaume. Sasa hapo vipi?
 
General view hapa janvini ni kwamba mwanamke huwa haanzi kumtongoza mwanaume, na kwamba mwanamke hawezi kumbaka mwanaume. Sasa hapo vipi?

JF kuna watu wanaishi kwa theories,i hate anything to do with general.....
mwanamke anaweza asikutongoze kwa maneno,but akakujengea mazingira ya wewe kutimiza malengo yake......wewe ukaanza ukaona umetongoza wewe kumbe umetongozwa indirectly.....it goes that way!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom