Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Isee upepo wa katiba unapita kwa kasi ya ajabu
Huko nyuma niliwai kuandika kuwa ikifika muda wa kukusanya maoni
TISS wataleta dude moja la kututoa kwenye reli naona wamefanikiwa
kwa kiasi fulani.
Serikali inapenda mgomo wa madaktari uendelee kusongo huku ikikimbiza
tume ya katiba vijiji kukusanya maoni kwa watu wengine wasiokuwa na uelewa
Kuweni chonjo UPEPO WA KATIBA UNAPITA KWA KASI YA AJABU
Huko nyuma niliwai kuandika kuwa ikifika muda wa kukusanya maoni
TISS wataleta dude moja la kututoa kwenye reli naona wamefanikiwa
kwa kiasi fulani.
Serikali inapenda mgomo wa madaktari uendelee kusongo huku ikikimbiza
tume ya katiba vijiji kukusanya maoni kwa watu wengine wasiokuwa na uelewa
Kuweni chonjo UPEPO WA KATIBA UNAPITA KWA KASI YA AJABU