Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,359
- 2,315
ni mara nyingi tumekuwa tukiona swala la mapenzi kama kitu kidogo katika maisha kusalitiana na kuumizana kimekuwa kitu cha kawaida.jambo hili si zuri hata kidogo tunapaswa kuheshimu swala hili na kulichulia tahadhali kubwa kwani ni madhara makubwa yanayotokea kutokana na watu kuleta utani katika mapenzi