kwan lazma uchakachue hyo modem, ulinunua ya nn kama huwez kuilipia? watu wengine bwana, wamekalia ufisadi tuuuu....si lazma ukombe mabilioni BOT au uchukue rushwa au utoe ushinde uchaguzi, hata huo ni ufisadi na wizi! kama huna pesa ya kulipia gharama za modem itupe tu.
Helo wataalam
Kuna ka modem ka tigo E153 KAMENISHINDA kuchakachua
nimejaribu kufuatilia thread mbali mbali lakini napata eroor 'unlock command error
baada ya kufuata hatua anuai zilizoainishwa naombeni mnisaidie
Mkuu hili sio jukwaa la siasa nijukwaa la kitaalamu,kama hujui kitu piga kimya na sio kuropoka tu ilimradi umeongeza post zako.kwan lazma uchakachue hyo modem, ulinunua ya nn kama huwez kuilipia? watu wengine bwana, wamekalia ufisadi tuuuu....si lazma ukombe mabilioni BOT au uchukue rushwa au utoe ushinde uchaguzi, hata huo ni ufisadi na wizi! kama huna pesa ya kulipia gharama za modem itupe tu.
Mkuu hili sio jukwaa la siasa nijukwaa la kitaalamu,kama hujui kitu piga kimya na sio kuropoka tu ilimradi umeongeza post zako.
Mkuu MASIKA dadafua kidogo umetumia njia/software ipi? na unakwamia wapi haswa,je modem inafanya kazi kwa line ya tigo? naamini wadau watakusaidia